Atakuwa kaachwa na bwanake.Wewe jamaa mbona unashoboka na Yanga hivyo?
Punguza ushamba basi. Mamelod ni timu ya kawaida tu.
Atakuwa kaachwa na bwanake.Wewe jamaa mbona unashoboka na Yanga hivyo?
Punguza ushamba basi. Mamelod ni timu ya kawaida tu.
Kabisa yaani.Na hua hatukosei
Ajabu kazi yao ni kukimbia
Yah! Ni kweli kabisa.Hiki ndio kipindi kizuri sana Cha kukusanya mafaili , upo muda watakimbia mafichoni kama kawaida Yao.
Yanga na mamelodi ndiyo mechi kubwa Kwenye Caf champions league 2024 Kwenye ngumi tunaita main event hizi nyingine za kina asec, Al ahly na wengine ni utanguliziHuu ni uzi wa 20 kwa leo tu kuongelea Yanga na Mamelodi. Mnajisahaulisha kuhusu Al Ahly.