1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Nyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini.
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
Wewe jamaa mbona unashoboka na Yanga hivyo?Nyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini.
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
Acha uoga wa hapo ukoloni,siii ndiooo yaaaanga,oooooohhhhhooo,sisi ndio yaaaanga,omba siku hiyo ifike😅Nyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini.
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
Leo uzi wake huu wa 20 kuhusu Ya ga na Mamelodi. Kweli shem wake kamuhotspot leo.Ulikua huna bando, leo shemeji ameku-hitspot ndio umeona droo ilivopangwa cha kwanza kufungua uzi. Si ungetuliza komwe usome nyuzi Jukwaani uchangie tu ulikua na haja gani ya kuanzisha uzi mpya.
Kolo anasubiri virungu vya ugoko aka alivyofanya prisons😅Huu ni uzi wa 20 kwa leo tu kuongelea Yanga na Mamelodi. Mnajisahaulisha kuhusu Al Ahly.
Hata Geita wanajipigia leo, bila kuwasahau Lamba Lamba jpili.Nyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini.
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
kwan mamelodi ana nini wasichokua nacho yanga kwa sasa kwenye ulimwengu wa soka, hata wayatimbe 🐒Nyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini.
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
Hivi wewe Yanga unaionaje?Nyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini.
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
hakuna tulichomitimba hiyo ni ratiba na lazima tukapambaneNyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini.
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
Sisi tunawapiga hizo hizo 6 pale taifaNyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini.
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
Kawaida yako kuharisha. Tumekuzoea.Nyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini.
Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifa
Na hua hatukosei
AahaaaaHata Geita wanajipigia leo, bila kuwasahau Lamba Lamba jpili.
🐸🐸Watabisha 😂😂
Hiki ndio kipindi kizuri sana Cha kukusanya mafaili , upo muda watakimbia mafichoni kama kawaida Yao.