Yanga kuwakosa nyota wake wawili dhidi ya Tanzania Prisons Dec-03.2018

Mayala masuka

JF-Expert Member
Jan 22, 2014
434
774
Sintofahamu yaendelea kuikumba Yanga FC, Kakolanya na Yondani hawatacheza kwenye mechi ya leo saa kumi dhidi ya Tanzania Prisons

Yanga yenye alama 35 ikiwa na michezo 13 inaendelea kuwa kinara wa ligi

MY TAKE; kwa nini uongozi usituweke wazi, tupime endapo wachezaji ndiyo wanatumika kuihujumu timu au la timu yenyewe ndiyo inayowahujumu, wachezaji hao.?

Anyway naiombea leo ushindi yanga, mbele ya maafande wa magereza.
 
Walipwe mishahara yao hakuna namna

Kakolanya anadai mshahara wa miezi minne, bakuli wanapitisha afu wachezaji hawalipwi si ufala huu

Afu eti nimesikia walikodi ndege kuja mbeya alafu wanashindwa kulipa mishahara wachezaji wakati wanaela hadi za kukodia ndege
 
Sintofahamu yaendelea kuikumba Yanga FC, Kakolanya na Yondani hawatacheza kwenye mechi ya leo saa kumi dhidi ya Tanzania Prisons

Yanga yenye alama 35 ikiwa na michezo 13 inaendelea kuwa kinara wa ligi

MY TAKE; kwa nini uongozi usituweke wazi, tupime endapo wachezaji ndiyo wanatumika kuihujumu timu au la timu yenyewe ndiyo inayowahujumu, wachezaji hao.?

Anyway naiombea leo ushindi yanga, mbele ya maafande wa magereza.
 
Kobello una uhakika mikataba hailipi, take imagine kama mkataba na yanga haulipi je alliance fc na biashara mara fc itakuwaje?
 
mtanange saa 16:00,
yanga vs Tanzania prison
huku yanga akiwa ugenini,
YONDANI&KAKOLANYA hawatacheza kwenye mechi kama sababu zinazotajwa na viongozi wa timu kuwa ni matatizo binafsi ya wachezaji wao,

my take: kwa nini uongozi usiweke wazi,sababu zipi ? ikibidi na hatua walizofikia, ili kuhakikisha wanaimaliza hii sintofahamu
Kakolanya inasemekana anaenda Simba kuchoma mahindi, acha tu aende huko ndo utakuwa mwisho wake
 
Yanga mkataba umegvunjika now ni free player na simba tayari wameongea naye kutokana na vyanzo vya ndani toka Simba
Habari si za kweli,tff leo wametoa taarifa yao
IMG-20181203-WA0002.jpeg
 
Kabwili atadaka..hata Iker Casillas aliaminiwa Madrid akiwa barobaro 19 yrs
 
Mpira wa Tanzania ni vichekesho. Sasa kwanini tusifungwe na Lesotho au Swaziland au Cape Verde. Timu kongwe na kubwa kuliko zote hapa Tanzania inashindwa Kulipa mishahara na ela ya us ajili wachezaji wake Karne hii ya 21???Kwahiyo itashindwa kupanga program za kimaendeleo.Tanzania iachane na mpira iende kwenye bongo fleva na bongo muvi. Ukisikia hizi Habari inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom