Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,283
- 2,043
Kutokana na klabu ya YANGA kutokukubali kuwa ni Timu ya Kawaida na inafungika Matokeo ya leo ya kufungwa na Klabu ya APR Magoli 3-1 katika Uwanja wa Amaani kwenye NUSU FAINAL ya kwanza na Kutolewa nje ya Mashindano kuna uwezekano mkubwa wa Klabu hiyo kukata rufaa FIFA kupinga Ushindi wa Klabu ya APR.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app