Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,448
- 4,980
nabado msimu huu yanga watashika nafasi ya nne!
kwa habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa timu ya Yanga inatarajia kukata dhidi ya mchezo wao na Azamu uliochezwa leo kwenye uwanja wa taifa na Azam Fc kuibuka na ushindi wa magoli matatu kwa mawili ya Yanga.kwa mujibu wa taarifa hyo Yanga watakata rufaa kwani MTANGAJI aliyekuwa akitangaza mpira huo alitangaza goli la mwisho la Azam kuwa ni yanga ndio wamefunga badala ya kutamka Azam ndio waliofunga,kwa mantiki hiyo wanahisi ni hujuma wamefanyiwa na wanaadhimia kuwasilisha rufani yao TFF ili mechi hiyo ichezwe upya.
mbona umenipa jina ambalo si langu,call me Nakapanya not pakapanya, sawa makoye the tall man.......
mbona umenipa jina ambalo si langu,call me Nakapanya not pakapanya, sawa makoye the tall man.......
Sawa Mkuu, hivi kumbe niliangalia vibaya niliona kama 'Pakapanya' kumbe ni 'Nakapanya', sorry sana, post yako iliniudhi hivyo nikahamaki, sikuangalia vizuri hlo jina lako. Anyway, jazba imeisha, tuko pamoja Mkuu.
Ujue tajiri kapoteza.Maskini akipata..............
kwa habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa timu ya Yanga inatarajia kukata dhidi ya mchezo wao na Azamu uliochezwa leo kwenye uwanja wa taifa na Azam Fc kuibuka na ushindi wa magoli matatu kwa mawili ya Yanga.kwa mujibu wa taarifa hyo Yanga watakata rufaa kwani MTANGAJI aliyekuwa akitangaza mpira huo alitangaza goli la mwisho la Azam kuwa ni yanga ndio wamefunga badala ya kutamka Azam ndio waliofunga,kwa mantiki hiyo wanahisi ni hujuma wamefanyiwa na wanaadhimia kuwasilisha rufani yao TFF ili mechi hiyo ichezwe upya.
Wewe Pakapanya kweli!
Pamoja na kusoma maelezo huwa naangalia jina la mwandishi. Hii imeandikwa na Nakapanya - nadhani ingekuwa Panyabuku kabisa.