yanga kukata rufaa dhidi ya Azam

yanga kukata rufaa dhidi ya Azam

Nakapanya

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
2,096
Reaction score
709
kwa habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa timu ya Yanga inatarajia kukata dhidi ya mchezo wao na Azamu uliochezwa leo kwenye uwanja wa taifa na Azam Fc kuibuka na ushindi wa magoli matatu kwa mawili ya Yanga.kwa mujibu wa taarifa hyo Yanga watakata rufaa kwani MTANGAJI aliyekuwa akitangaza mpira huo alitangaza goli la mwisho la Azam kuwa ni yanga ndio wamefunga badala ya kutamka Azam ndio waliofunga,kwa mantiki hiyo wanahisi ni hujuma wamefanyiwa na wanaadhimia kuwasilisha rufani yao TFF ili mechi hiyo ichezwe upya.
 
kwa habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa timu ya Yanga inatarajia kukata dhidi ya mchezo wao na Azamu uliochezwa leo kwenye uwanja wa taifa na Azam Fc kuibuka na ushindi wa magoli matatu kwa mawili ya Yanga.kwa mujibu wa taarifa hyo Yanga watakata rufaa kwani MTANGAJI aliyekuwa akitangaza mpira huo alitangaza goli la mwisho la Azam kuwa ni yanga ndio wamefunga badala ya kutamka Azam ndio waliofunga,kwa mantiki hiyo wanahisi ni hujuma wamefanyiwa na wanaadhimia kuwasilisha rufani yao TFF ili mechi hiyo ichezwe upya.

Na sababu nyingine hii hapa:
aka2030 said:
Hawa jamaa wanaupendeleo sana leo uwanja wa taifa walikuwa wanashoot mechi ya yanga na azam huku wakiionyesha kwenye big screen. Cha ajabu magoli yote yanga waliokuwa wakifunga jamaa hawakuwa wanayarewwind kwenye big screen kwa style hii inamaana itakuwa inawabeba tu azam
 
sababu nyingine ni ubovu uliokithiri wa uwanja wa taifa na mawingu kuzuia jua hivyo kuwapa Azam kivuli
 
itabidi nalo hilo lijumuishwe kwenye rufaa yao
 
sababu nyingine ni ubovu uliokithiri wa uwanja wa taifa na mawingu kuzuia jua hivyo kuwapa Azam kivuli

hahaaa itabidi tuwashauri pia walijumuishe hilo kwenye rufaa yao
 
Sababu nyingine kwanini bao lifungwe kwenye muda wa nyoongeza.
 
wachezaji wengi wa Yanga ni mashabiki wa Man U, kwa hiyo mawazo yao hayakuwepo uwanjani kutokana na kutoangalia mechi ya man U na Man city, irudiwe...
 
Baraza la wazee mbona kimya??????
Wazee waliongea baada ya mechi ya Mbeya City wakasema: "Sisi wanatuona hatujasoma na hawataki kuongea nasi na huyo mkenya wanamwona anajua basi anajua maana huko alikotoka kaendeleza vilabu vingi vina maendeleo basi anajua lakini sisi wazee tunasema mpira una mambo yake ya asili na inabidi yaheshimiwe, huyo mkenya si wanasema anajua basi anajua" nilimsikia mzee mmoja wa Yanga anaongea magic fm, safari hii hakuwa mzee Akilimali.
 
Back
Top Bottom