Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
kwa habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa timu ya Yanga inatarajia kukata dhidi ya mchezo wao na Azamu uliochezwa leo kwenye uwanja wa taifa na Azam Fc kuibuka na ushindi wa magoli matatu kwa mawili ya Yanga.kwa mujibu wa taarifa hyo Yanga watakata rufaa kwani MTANGAJI aliyekuwa akitangaza mpira huo alitangaza goli la mwisho la Azam kuwa ni yanga ndio wamefunga badala ya kutamka Azam ndio waliofunga,kwa mantiki hiyo wanahisi ni hujuma wamefanyiwa na wanaadhimia kuwasilisha rufani yao TFF ili mechi hiyo ichezwe upya.