YANGA kama MCHARO wamekuwa WATAMU

YANGA kama MCHARO wamekuwa WATAMU

Hahahaha.. This week kuna gazeti la Champion liliandika kichwa cha habari kwamba mtani umekuwa Mcharo.. Hii ni katika jitihada ya Shigongo kuwatoboa mifuko mafukara wa akili Yanga,wakaanza kujitamba sisi Noma..mara wazee wq nne,Simba nyi wazee wa moja
moja pasipo kutambua kuwa walipangwa na group nyanya..yenyew timu mithili za mchangani.Haya endeleeni kuhonga waandishi na nyinyi maiti wa Yanga endeleeni kuamini kwamba nyinyi ni wazee wa nne.mapinduzi ni rasha rasha shirikisho ndo gharika...kweli ndala kama MCHARO MMEKUWA WATAMU..sikuzote kimoja kinauma...Big up JKU

Najua Kanjibhai na hili atasema FETE la KARUME.

Kweli Yanga ni Watamu hilo halina ubishi, maana Simba tunawaonja kila mechi sasa tumewaachia Wanzanzibar wa JKU nao waonje...
 
tehe tehe..........onjeeeni muone Yanga ilivyo taaamu...............

Mtoto wa kibrazil huyu, mwezi disemba alinikatikia mauno kidogo niuze kiwanja cha urithi kule Bunju....
Toto Pluj....limetoroka ninalitamani....
 
Matako yenu bonanza tu mna chonga njooni kwanye ligi mwaka hu mnashuka daraja waze wa bonanza
 

Attachments

  • 1421405666360.jpg
    1421405666360.jpg
    17.2 KB · Views: 63
Back
Top Bottom