YANGA kama MCHARO wamekuwa WATAMU

YANGA kama MCHARO wamekuwa WATAMU

Bwana Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,551
Reaction score
1,777
Hahahaha.. This week kuna gazeti la Champion liliandika kichwa cha habari kwamba mtani umekuwa Mcharo.. Hii ni katika jitihada ya Shigongo kuwatoboa mifuko mafukara wa akili Yanga,wakaanza kujitamba sisi Noma..mara wazee wq nne,Simba nyi wazee wa moja
moja pasipo kutambua kuwa walipangwa na group nyanya..yenyew timu mithili za mchangani.Haya endeleeni kuhonga waandishi na nyinyi maiti wa Yanga endeleeni kuamini kwamba nyinyi ni wazee wa nne.mapinduzi ni rasha rasha shirikisho ndo gharika...kweli ndala kama MCHARO MMEKUWA WATAMU..sikuzote kimoja kinauma...Big up JKU

Najua Kanjibhai na hili atasema FETE la KARUME.
 

Attachments

  • 1420750105808.jpg
    1420750105808.jpg
    126.3 KB · Views: 2,296
Yanga ina mashabiki wengi na hilo wenye magazeti wanalitumia kufanya biashara. Musonye pamoja na kuichukia kote Yanga analitambua hilo.
Mkuu, mkivuta mto ndio mtukane mamba.
 
Hahahaha.. This week kuna gazeti la Champion liliandika kichwa cha habari kwamba mtani umekuwa Mcharo.. Hii ni katika jitihada ya Shigongo kuwatoboa mifuko mafukara wa akili Yanga,wakaanza kujitamba sisi Noma..mara wazee wq nne,Simba nyi wazee wa moja
moja pasipo kutambua kuwa walipangwa na group nyanya..yenyew timu mithili za mchangani.Haya endeleeni kuhonga waandishi na nyinyi maiti wa Yanga endeleeni kuamini kwamba nyinyi ni wazee wa nne.mapinduzi ni rasha rasha shirikisho ndo gharika...kweli ndala kama MCHARO MMEKUWA WATAMU..sikuzote kimoja kinauma...Big up JKU

Najua Kanjibhai na hili atasema FETE la KARUME.
Wamekuwa watamu ndo maana jana JKU wakajitafunia kitu kitamu. Ha hahahaha teh teh hizi title controversial inabidi waandishi waache kuzitumia.
 
Hahahaha.. This week kuna gazeti la Champion liliandika kichwa cha habari kwamba mtani umekuwa Mcharo.. Hii ni katika jitihada ya Shigongo kuwatoboa mifuko mafukara wa akili Yanga,wakaanza kujitamba sisi Noma..mara wazee wq nne,Simba nyi wazee wa moja
moja pasipo kutambua kuwa walipangwa na group nyanya..yenyew timu mithili za mchangani.Haya endeleeni kuhonga waandishi na nyinyi maiti wa Yanga endeleeni kuamini kwamba nyinyi ni wazee wa nne.mapinduzi ni rasha rasha shirikisho ndo gharika...kweli ndala kama MCHARO MMEKUWA WATAMU..sikuzote kimoja kinauma...Big up JKU

Najua Kanjibhai na hili atasema FETE la KARUME.

Coutinho anapendeza sana ndani ya uzi wa Yanga, hasa kwenye hiyo picha juu. Utadhani mchezaji wa Norwich.
 
wewe endelea kuongea na kuandika upuuzi,mkifunga polisi mnamalizwa na mtibwa kama asusa
 
wewe endelea kuongea na kuandika upuuzi,mkifunga polisi mnamalizwa na mtibwa kama asusa

Ee Mwenyezi Mungu, naomba dua hii itimie maana tumechoshwa na kelele za hawa mikia. Ona tunavyotukanwa, hatuna raha usiku na mchana, naomba leo wanyamazishwe kimya nasi tupate raha. Aminaaaaa.
 
Ee Mwenyezi Mungu, naomba dua hii itimie maana tumechoshwa na kelele za hawa mikia. Ona tunavyotukanwa, hatuna raha usiku na mchana, naomba leo wanyamazishwe kimya nasi tupate raha. Aminaaaaa.

Eeeh Mwenyezi Mungu naomba hii dua chafu ishindwe.. Najua hata nawe unashabikia Simba Sc.. Saidia tushinde hii Mapinduzi Cup ili mtaani tukae kwa amani.. Amina.
 
Eeeh Mwenyezi Mungu naomba hii dua chafu ishindwe.. Najua hata nawe unashabikia Simba Sc.. Saidia tushinde hii Mapinduzi Cup ili mtaani tukae kwa amani.. Amina.

Ni kweli mkuu hata Yesu Kristo aliitwa Simba wa Yuda. Hao hawafahamu kama kule Israel maeneo ya Yuda kuna tawi la Simba SC.
 
Ee Mwenyezi Mungu, naomba dua hii itimie maana tumechoshwa na kelele za hawa mikia. Ona tunavyotukanwa, hatuna raha usiku na mchana, naomba leo wanyamazishwe kimya nasi tupate raha. Aminaaaaa.

Mungu wako amelala fofofo, alikuwa anakula viroba dukani kwa Mangi muda mchache kabla ya mechi kuanza...
 
Yanga ina mashabiki wengi na hilo wenye magazeti wanalitumia kufanya biashara. Musonye pamoja na kuichukia kote Yanga analitambua hilo.
Mkuu, mkivuta mto ndio mtukane mamba.

Ukiwa na Safina kama ya Simba SC unamtukana mamba matusi yote mpaka analia, then kwa mbwembwe zote unazama chomboni na kusepa zako ng'ambo ya pili...
 
Back
Top Bottom