Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,180
- 138,474
Kuna kipa wa Dodoma Jiji hakuwahi kucheza mechi 13 lakini akadakishwa mechi ya Uto. Ila mechi iliyofuata ya Mashujaa kipa namba 1 alirudishwa.
Kwao Dodoma Jiji mechi ya Mashujaa ilikuwa muhimu kuliko ya Yanga