A d o l f
Member
- Oct 16, 2018
- 48
- 187
Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Watoto wa Jangwani au Wananchi, kwa muda wa miaka 24 sasa hawajafuzu kucheza hatua ya makundi michuano ya Klabu bingwa Afrika tangu ilipofuzu kwa mara ya mwisho mwaka 1998.
Je, nini kifanyike ili wananchi wawe na makali kwenye michuano hii kama waliyonayo watani wao Simba Sports Club?
View attachment 2406607
Je, nini kifanyike ili wananchi wawe na makali kwenye michuano hii kama waliyonayo watani wao Simba Sports Club?
View attachment 2406607