Yanga imekiuka kumfanyisha mazoezi mchezaji Kessy wa Simba lakini TFF imekaa kimya

mwembemdogo

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
2,282
1,252
Mie nadhani wakati umefika Kwa Wizara ya habari kusimamia vilivyo chaguzi za viongozi wa vyama vya michezo hapa nchini.Nashauri hivyo kutokana Na TFF kukaa kimya wakati Klabu ya Yanga Kwa makusudi imemfanyisha mazoezi mchezaji Kessy ambaye ana mkataba Na Klabu yake ya Simba.TFF hiyo hiyo ikijua kabisa kuwa Klabu ya Yanga haikuwa Na kamati ya Utendaji bado ikaruhusu ijiundie kamati batili iliyosimamia Uchaguzi wake Na Rais wa TFF anautangazia umma eti anaipongeza klabu ya Yanga kufanya uchaguzi huku akijua dosari za uchaguzi huo. Wakati umefika Wizara iangalie viongozi wanagombea uongozi katika vyama wawe wanaupeo sio vilaza.
 
Acheni kulalamika jipangani kutoka matopeni...yanga si saizi yenu tena badala ya kujipanga namna ya angalau kujinasua kwenye matope mnabaki kupiga majungu
 
Kwa hiyo mlivyo mtimua kessy mlitegemea akae tuu bila kufanya mazoezi au mlitaka akafanye mazoezi wapi
msimu ujao kessy atawatesa sana kama ilivyo kuwa Kwa tambwe eti agban anawaletea mshikaji wake kuwa Bonge LA streka
 
Kwa hiyo mlivyo mtimua kessy mlitegemea akae tuu bila kufanya mazoezi au mlitaka akafanye mazoezi wapi
msimu ujao kessy atawatesa sana kama ilivyo kuwa Kwa tambwe eti agban anawaletea mshikaji wake kuwa Bonge LA streka
nisawa na kumuacha demu alafu utaki agegedwe.
 
Mie nadhani wakati umefika Kwa Wizara ya habari kusimamia vilivyo chaguzi za viongozi wa vyama vya michezo hapa nchini.Nashauri hivyo kutokana Na TFF kukaa kimya wakati Klabu ya Yanga Kwa makusudi imemfanyisha mazoezi mchezaji Kessy ambaye ana mkataba Na Klabu yake ya Simba.TFF hiyo hiyo ikijua kabisa kuwa Klabu ya Yanga haikuwa Na kamati ya Utendaji bado ikaruhusu ijiundie kamati batili iliyosimamia Uchaguzi wake Na Rais wa TFF anautangazia umma eti anaipongeza klabu ya Yanga kufanya uchaguzi huku akijua dosari za uchaguzi huo. Wakati umefika Wizara iangalie viongozi wanagombea uongozi katika vyama wawe wanaupeo sio ******.
Wazee wa kulialia...

Nyie si mlimfukuza Kessy?...

Unajua hata sheria za usajili zinasemaje kwa mchezaji aliyekaribia kumaliza mkataba?...

Btw Kessy alimalizana nanyi kimkataba tangu tarehe 15/06/2016....

'Ukiona cha nini, wenzio wanawaza watakipata lini'..
 
Acheni kulalamika jipangani kutoka matopeni...yanga si saizi yenu tena badala ya kujipanga namna ya angalau kujinasua kwenye matope mnabaki kupiga majungu

Naona saizi yenu ni Mo Baseiya. Na mtapigwa kama mbwa kwenye hili maana nyinyi hamna wa kumfunga hapo hata moja.
 
Naona saizi yenu ni Mo Baseiya. Na mtapigwa kama mbwa kwenye hili maana nyinyi hamna wa kumfunga hapo hata moja.
Ndo kazi yenu hio kudandiadandia timu......zile level zingne nyie wamatopeni hamna haki ya kuchangia huku nenden kachangien kule kwenye ndondo cup ya dk mwaka
 
Benchi zima la ufundi simba + kamati yote ya usajili simba wanapaswa kufukuzwa na kupigwa bakora za nguvu kabisa! Kwa binadam mwenye akili timamu huwezi kumfukuza mchezaji aliyekuletea mafanikio kama tambwe au kessy! Na hata wanachama na mashabiki wa simba na nyie mna matatizo vile vile, haiwezekani hao vibaraka wanarudia kosa lile lile kila mwaka nyie mnawaangalia tuu?
 
Alafu mjinga mmoja anawadanganya eti amesajili 'striker' atayekuwa anazifumania nyavu kila mechi na ikitokea hajafunga basi akatwe mshahara................?????!!!!!
Kazi kweli kweli
 
TFF wamepeleka majina ya wachezaji hao CAF bila kikao halali cha kupitisha usajili. Hii ni aibu kuu kwa TFF. Kwanini kila jambo linalohusu Yanga TFF linapindisha sheria zao wenyewe.?
Na hao wanaosema Kessy amemaliza mkataba na Simba toka 15 june si wamchezeshe? wanahofia nini?
TFF hii ni janga la kitaifa kwa soka letu
 
TFF wamepeleka majina ya wachezaji hao CAF bila kikao halali cha kupitisha usajili. Hii ni aibu kuu kwa TFF. Kwanini kila jambo linalohusu Yanga TFF linapindisha sheria zao wenyewe.?
Na hao wanaosema Kessy amemaliza mkataba na Simba toka 15 june si wamchezeshe? wanahofia nini?
TFF hii ni janga la kitaifa kwa soka letu

acheni upopoma WENU mwacheni Dogo acheze mpira nyie si mmesha sajili straiker hatari ama nn
 
Acheni kulalamika jipangani kutoka matopeni...yanga si saizi yenu tena badala ya kujipanga namna ya angalau kujinasua kwenye matope mnabaki kupiga majungu
Ana hoja ya msingi tatizo ameshindwa kuinisha na kunyambulisha hoja
UKWELI NI KUWA TFF IMEKWENDA MLAMA NAHODHA KAJITOSHA
BAHARINI
 
acheni upopoma WENU mwacheni Dogo acheze mpira nyie si mmesha sajili straiker hatari ama nn
Nyamaza wewe mwehu. Hujui lolote. Mchezaji ana mkataba na Simba unasoma utakwisha 30june2016, ana local licence ya Simba. Lini alipewa local licence ya Yanga? huyo si mchezaji wa Yanga.
Kama hamtaki ukweli mchezesheni basi.
 
Back
Top Bottom