YANGA ifike wakati iwaheshimu SIMBA!..

Source07

Senior Member
Oct 5, 2018
196
352
Yanga msimu ujao watashiriki mashindano ya kimataifa na hii inatokana na SIMBA kufanya vizuri hivyo kuweza kuipatia nafasi yakushiriki Yanga..
Yanga ili kushiriki mashindano ya kimataifa ilikua ni kupitia kushinda kombe la shirikisho na ambalo leo wametolewa hivyo kwanjia hiyo haiwezekani tena..Njia aliyobaki nayo Yanga kuweza kushiriki mashindano hayo nikushinda ligi nakua Bingwa lakin hilo nikama ndoto Tu za mchana..hivyo yanga njia pekee inayowapeleka Kimataifa ni kupitia mgongo wa Simba!
Ifike mahala Yanga iwaheshimu Simba!
 
Yanga msimu ujao watashiriki mashindano ya kimataifa na hii inatokana na SIMBA kufanya vizuri hivyo kuweza kuipatia nafasi yakushiriki Yanga..
Yanga ili kushiriki mashindano ya kimataifa ilikua ni kupitia kushinda kombe la shirikisho na ambalo leo wametolewa hivyo kwanjia hiyo haiwezekani tena..Njia aliyobaki nayo Yanga kuweza kushiriki mashindano hayo nikushinda ligi nakua Bingwa lakin hilo nikama ndoto Tu za mchana..hivyo yanga njia pekee inayowapeleka Kimataifa ni kupitia mgongo wa Simba!
Ifike mahala Yanga iwaheshimu Simba!
Hata hivyo siyo msimu wa 19/20 bali ni 20/21.
Kwahiyo huenda Simba ikawa imejibeba yenyewe kama hawatachukua Ubingwa.
Kama mwaka huu Yanga hatachukua Ubingwa basi mwakani atashuhudia Simba na Azam/Lipuli kwenye match za kimataifa. Na Simba asipo chukua the same applies.
 
Yanga msimu ujao watashiriki mashindano ya kimataifa na hii inatokana na SIMBA kufanya vizuri hivyo kuweza kuipatia nafasi yakushiriki Yanga..
Yanga ili kushiriki mashindano ya kimataifa ilikua ni kupitia kushinda kombe la shirikisho na ambalo leo wametolewa hivyo kwanjia hiyo haiwezekani tena..Njia aliyobaki nayo Yanga kuweza kushiriki mashindano hayo nikushinda ligi nakua Bingwa lakin hilo nikama ndoto Tu za mchana..hivyo yanga njia pekee inayowapeleka Kimataifa ni kupitia mgongo wa Simba!
Ifike mahala Yanga iwaheshimu Simba!
Yanga 2019/2021 benchi, Tanzania itafaidika na timu 4 2020/2021
 
Hata hivyo siyo msimu wa 19/20 bali ni 20/21.
Kwahiyo huenda Simba ikawa imejibeba yenyewe kama hawatachukua Ubingwa.
Kama mwaka huu Yanga hatachukua Ubingwa basi mwakani atashuhudia Simba na Azam/Lipuli kwenye match za kimataifa. Na Simba asipo chukua the same applies.
....mkuu vipi mpaka SIMBA bado kajibeba mwenyewe???
 
Nchi za wenzetu kupeleka timu nne imezoeleka. Bongo kitu kigeni.
Oh nimekubeba. Mgongoni kwako anafanya nini?
 
Nchi za wenzetu kupeleka timu nne imezoeleka. Bongo kitu kigeni.
Oh nimekubeba. Mgongoni kwako anafanya nini?
Hata kwahao wenzetu unaowazungumza hawakuanza tu mojakwamoja...walianza kama sisi kupeleka timu chache...kikubwa hapa kwanza nikujipongeza kwa Mara yakwanza nasisi ligi yetu inapeleka timu4 na kuwa ligi yakwanza ktk ukanda mzima Africa mshariki na Kati..hufarahii hilo mkuu??Kenya wanatamani,Uganda the same Burundi, Rwanda kote huko pia wanatamani...Pili wapeni Pongezi zao SIMBA bila wao bado ingekua ndoto kupeleka Timu 4 CAF!
 
Bingwa mara 27 afike mahali amheshimu bingwa mara 20?
Only in Tanzania!
 
Yanga msimu ujao watashiriki mashindano ya kimataifa na hii inatokana na SIMBA kufanya vizuri hivyo kuweza kuipatia nafasi yakushiriki Yanga..
Yanga ili kushiriki mashindano ya kimataifa ilikua ni kupitia kushinda kombe la shirikisho na ambalo leo wametolewa hivyo kwanjia hiyo haiwezekani tena..Njia aliyobaki nayo Yanga kuweza kushiriki mashindano hayo nikushinda ligi nakua Bingwa lakin hilo nikama ndoto Tu za mchana..hivyo yanga njia pekee inayowapeleka Kimataifa ni kupitia mgongo wa Simba!
Ifike mahala Yanga iwaheshimu Simba!
Hebu kuwa objective naona blabla tu, tueleze vigezo mkuu. Itendee haki JF.
 
Hebu kuwa objective naona blabla tu, tueleze vigezo mkuu. Itendee haki JF.
Unataka vigezo gani tena Mheshimiwa wakati kanuni za CAF zinasema nchi mwanachama ikifikisha jumla ya Points 15+ ktk mashindano yao basi kwamsimu unaofata watakua na uwezo wakupeleka timu4...2 champions League na 2 federation Cup..hivyo basi kwa ushiriki wa Simba na kufanya vizuri msimuu huu wamevuna points nyingi hivyo kuipa nafasi Tanzania kupeleka Timu 4 kimataifa..!
 
Unataka vigezo gani tena Mheshimiwa wakati kanuni za CAF zinasema nchi mwanachama ikifikisha jumla ya Points 15+ ktk mashindano yao basi kwamsimu unaofata watakua na uwezo wakupeleka timu4...2 champions League na 2 federation Cup..hivyo basi kwa ushiriki wa Simba na kufanya vizuri msimuu huu wamevuna points nyingi hivyo kuipa nafasi Tanzania kupeleka Timu 4 kimataifa..!
Hizo point 15+ zielezee zimepatikanaje.
 
Bingwa mara 27 afike mahali amheshimu bingwa mara 20?
Only in Tanzania!
Hapa heshima siyo usindani wa ndani hapana tunazungumzia kimataifa zaidi nani ameiletea heshima ligi yetu?
Hata Uingereza Manchester Utd nibingwa wamara20 lakin anamuheshimu Liverpool bingwa wara19 lakin heshima hiyo anampa ktk level za champion's League...Liver nibingwa zaid kuliko Utd
 
Hizo point 15+ zielezee zimepatikanaje.
Ktk hizo points yanga ktk muda wa miaka 3 wakati Simba hashiriki Michuano yakimataifa wamechangia alama 2 tu wakati Simba ndani ya msimu mmoja wamechangia alama12.!Mark the difference mkuu..
 
Ktk hizo points yanga ktk muda wa miaka 3 wakati Simba hashiriki Michuano yakimataifa wamechangia alama 2 tu wakati Simba ndani ya msimu mmoja wamechangia alama12.!Mark the difference mkuu..
Simba ndiyo mara ya kwanza kushiriki!?
 
Simba ndiyo mara ya kwanza kushiriki!?
Nabado tukirudi nyuma Yanga bado hawanapoints zingi walizovuna..huku hatua yao kubwa nikuishia kucheza hatua ya makundi tena ya Shirikisho..Lakin Simba wanarekodi kubwa sana kuliko Yanga kumbuka Simba alishafika Fainali!ashafika 1/4 Fainali!hivyo wamechangia point nyingi zaidi kuliko Yanga toka huko nyuma..
 
Nabado tukirudi nyuma Yanga bado hawanapoints zingi walizovuna..huku hatua yao kubwa nikuishia kucheza hatua ya makundi tena ya Shirikisho..Lakin Simba wanarekodi kubwa sana kuliko Yanga kumbuka Simba alishafika Fainali!ashafika 1/4 Fainali!hivyo wamechangia point nyingi zaidi kuliko Yanga toka huko nyuma..
Blabla za nini kuwa objective, nimekuuliza kwa sentensi moja tu. Kipi kinachokushinda kujibu!?
 
Ktk hizo points yanga ktk muda wa miaka 3 wakati Simba hashiriki Michuano yakimataifa wamechangia alama 2 tu wakati Simba ndani ya msimu mmoja wamechangia alama12.!Mark the difference mkuu..
Sio kweli mkuu

Yanga kavuna jumla ya point 1 yaani 0.5 kwa kila mwaka 2016 na 2018 ya kushiriki CC na;
Simba kavuna points 3 kwa mkupuo mwaka huu 2018-2019 ktk CL

Mahesabu ndani ya miaka mi5 kuanzia 2015 yanakuja hivi kwa;

Yanga (0.5 x 2) + (0.5 x 4) = 3
Simba 3 x 5 = 15
Jumla 18
 
Nabado tukirudi nyuma Yanga bado hawanapoints zingi walizovuna..huku hatua yao kubwa nikuishia kucheza hatua ya makundi tena ya Shirikisho..Lakin Simba wanarekodi kubwa sana kuliko Yanga kumbuka Simba alishafika Fainali!ashafika 1/4 Fainali!hivyo wamechangia point nyingi zaidi kuliko Yanga toka huko nyuma..
Yanga point 1, Simba points 3
Kwa asilimia
Yanga 25%
Simba 75%

Kuchangia ni kuchangia tu, Yanga kachangia
 
Hapa heshima siyo usindani wa ndani hapana tunazungumzia kimataifa zaidi nani ameiletea heshima ligi yetu?
Hata Uingereza Manchester Utd nibingwa wamara20 lakin anamuheshimu Liverpool bingwa wara19 lakin heshima hiyo anampa ktk level za champion's League...Liver nibingwa zaid kuliko Utd
Sawa Kiongozi. Kwa hiyo huko nje au tuseme CAF, Simba bingwa mara ngapi zaidi ya Yanga.
 
Nabado tukirudi nyuma Yanga bado hawanapoints zingi walizovuna..huku hatua yao kubwa nikuishia kucheza hatua ya makundi tena ya Shirikisho..Lakin Simba wanarekodi kubwa sana kuliko Yanga kumbuka Simba alishafika Fainali!ashafika 1/4 Fainali!hivyo wamechangia point nyingi zaidi kuliko Yanga toka huko nyuma..
Hivi unaweza kutukumbusha ni mwaka gani huo Simba walifika fainali la kombe la klabu bingwa Afrika.
 
Back
Top Bottom