kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Watu wenye umri mkubwa wa kuzaliwa wa timu ya Yanga jana walitoa kauli ati hawakotayari kuvaa jezi za mdhamini kwa sababu jezi hizo zina mkono wa Simba. Hawa ni mbumbumbu wa mikataba, lazima wakubaliane na matakwa ya Mdhamini siyo kuchukua pesa zake tu.
Kama rangi hawaipendi, mbona mzee Akilimali pazia zake, makochi yake na vitambaa vyote ni vyekundu, nenda kazione kule banda la uwani anapoishi nyumbani kwa marehemu mzee Matunda Ng'ozoma. Sasa mbona huyo huyo mzee anasema hataki hiyo rangi mpaka afe, je huu siyo unafiki?
Kama rangi hawaipendi, mbona mzee Akilimali pazia zake, makochi yake na vitambaa vyote ni vyekundu, nenda kazione kule banda la uwani anapoishi nyumbani kwa marehemu mzee Matunda Ng'ozoma. Sasa mbona huyo huyo mzee anasema hataki hiyo rangi mpaka afe, je huu siyo unafiki?