Yanga Day

Yanga Day

Siku ya kilele cha wiki ya Mwananchi, YANGA mechi itakuwa dhidi ya timu gani?
Ilisemwa itakuwa against Bandari FC kutika Kenya. Ingawaje ka Kamwe kametoa offer kwa Makolo kama wanaona tarehe ya Ngao ya Jamii itakuwa karibu na mechi ya kimataifa basi tumwahirishie bandari ili waonwachukue nafasi hiyo tucheze nao siku ya Mwananchi day.
 
Ilisemwa itakuwa against Bandari FC kutika Kenya. Ingawaje ka Kamwe kametoa offer kwa Makolo kama wanaona tarehe ya Ngao ya Jamii itakuwa karibu na mechi ya kimataifa basi tumwahirishie bandari ili waonwachukue nafasi hiyo tucheze nao siku ya Mwananchi day.
Hahahahahaaha
 
Ilisemwa itakuwa against Bandari FC kutika Kenya. Ingawaje ka Kamwe kametoa offer kwa Makolo kama wanaona tarehe ya Ngao ya Jamii itakuwa karibu na mechi ya kimataifa basi tumwahirishie bandari ili waonwachukue nafasi hiyo tucheze nao siku ya Mwananchi day.
Hako ka Uto baada ya kuona uwanja utapwaya...😀
 
Back
Top Bottom