Ileje JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 11,869 Reaction score 18,149 May 13, 2024 #1 Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi!
Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi!
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,260 May 13, 2024 #2 Match zilizobaki tunamchukulia Azizi kiatu chake
Doji MD JF-Expert Member Joined Dec 27, 2019 Posts 2,472 Reaction score 5,323 May 13, 2024 #3 Bado kiatu
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 24,888 Reaction score 27,012 May 13, 2024 #4 Ileje said: Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi! Click to expand... Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hiziš«
Ileje said: Bado mechi tatu za NBC Premier league kumalizika Yanga Bingwa. Kinachofuata Yanga watakuwa wanacheza mechi zilizobaki kama wanafanya mazoezi! Click to expand... Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hiziš«
Ileje JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 11,869 Reaction score 18,149 May 13, 2024 Thread starter #5 Bengal said: Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hiziš« Click to expand... Semaji la kimataifa limepotea kusikojulikana!
Bengal said: Vipi hamja tujulisha hali ya semaji la kimataifa na kocha guardiola mnene,hawajazimia kwa habari hiziš« Click to expand... Semaji la kimataifa limepotea kusikojulikana!