Yanga bila kurekebisha haya mechi ya kesho itakuwa ngumu

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,810
Kesho Yanga watatupa karata yao dhidi ya Club Africain ya Tunisia. Kwangu hii ni mechi ngumu kuliko ile ya Al hilal. Yafuatayo ni mafungufu ambayo km kocha hajayafanyia kazi basi itakuwa ngumu kusonga mbele.

1.Kutengeneza mashambulizi kwa taratibu( slow). Warabu wakiwa ugenini huwa wanapenda kuipoozesha "game". Sasa km Yanga wataingia na staili ya "slow" km tulivyowazoea basi biashara itakuwa imeisha.

Yanga wanatakiwa kushambulia kwa kasi Ili kuweze kupata ubora wa Morison anaependa mpira wa nipe nikupe kwa kasi hapo ndipo huwa anapata mwanya wa kulazimisha timu pinzani kufanya makosa na kuweza kupata penalt au faulo nje ya 18.

2.Wawe makini na shambulizi la kushitukiza( Counter attacks). Mechi mbili na Al hilal Yanga walifungwa magoli mawili yanayofanana tena na mchezaji mmoja. Goli la Okra dhidi ya Simba ilikuwa ni counter pia. Ni km kocha ameshindwa kuwaelekeza wachezaji jinsi ya kuchukua tahadhari wakati wanapoenda mbele kushambulia. Kwenye Counter shape ya timu huwa inakaa ovyo (Shaghalabagala).Wachezaji wanaenda kukaba huku wamerundikana km mafungu ya nyanya. Wakipigwa chenga wote wanapotea. Na nadhani Club Africain watakuwa wamezifatilia kwa makini mechi za Yanga na kubaini haya niliyoyasema.

3. Udhaifu sehemu ya kiungo mkabaji na beki wa kati. Hili kila mtu analijua hakuna haja ya kuongea sana.

4. Mashambulizi yote kupitia kwa Mayele. Unapomtegemea mchezaji mmoja ndo afunge unairahisishia timu pinzani kuunda mkakati wa kumzuia hasa unapokutana na timu bora.Simba kwa mfano asipofunga Mosses Phiri Chama,Sakho,Okra, watafunga.

5. Idadi ndogo ya wachezaji kuingia eneo la mpinzani. Yanga wanaposhambulia huwa wanakuwa wachache eneo la mpinzani na hivyo kuwarahisishia wapinzani kuokoa mipira kwa urahisi au krosi nyingi kukosa mtu wa kumalizia.

Mimi haya ndo niliyoyaona,karibuni tuendelee kuwapa ushauri.
 
Pia wahakikishe wanajitahidi kukaza meno kama wanavyokaza mechi za Simba.

Kwa lugha rahisi wachukue vinyago wavivishe jezi za Simba wahisi wako wanapambana na Simba , hapo Club Africain hatatoka hakika

Nje ya hayo basi byebye
Prince Dube akisoma hiki ulicho kiandika hapa, atabakia tu kujisemea kwamba "yule mwenyekiti wenu wa zamani alikuwa sahihi kabisa kuwaita lile jina"
 
JamiiForums-940576049.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malengo ya yanga na azam ni kuifunga simba.

Ktk hilo wameshafanikiwa ila huko kimataifa hawana tofauti na mwenge unaoangaza vijijini tu na kamwe hata burundi mipakani hauwezi fika.
 
Kesho Yanga watatupa karata yao dhidi ya Club Africain ya Tunisia. Kwangu hii ni mechi ngumu kuliko ile ya Al hilal. Yafuatayo ni mafungufu ambayo km kocha hajayafanyia kazi basi itakuwa ngumu kusonga mbele.

1.Kutengeneza mashambulizi kwa taratibu( slow). Warabu wakiwa ugenini huwa wanapenda kuipoozesha "game". Sasa km Yanga wataingia na staili ya "slow" km tulivyowazoea basi biashara itakuwa imeisha.

Yanga wanatakiwa kushambulia kwa kasi Ili kuweze kupata ubora wa Morison na hivyo kuwalazimisha Warabu kufanya makosa,la sivyo hakutakuwa na maajabu.

2.Wawe makini na shambulizi la kushitukiza( Counter attacks). Mechi mbili na Al hilal Yanga walifungwa magoli mawili yanayofanana tena na mchezaji mmoja. Goli la Okra dhidi ya Simba ilikuwa ni counter pia. Ni km kocha ameshindwa kuwaelekeza wachezaji jinsi ya kuchukua tahari wakati wanapoenda mbele kushambulia. Kwenye Counter shape ya timu huwa inakaa ovyo sana. Wachezaji wanaenda kukaba huku wamerundikana km mafungu ya nyanya. Wakipigwa chenga wote wanapotea. Na nadhani Club Africain watakuwa wamezifatilia kwa makini mechi za Yanga na kibaini haya niliyoyasema.

3. Udhaifu sehemu ya kiungo mkabaji na beki wa kati. Hili kila mtu analijua hakuna haja ya kuongea sana.

4. Mashambulizi yote kupitia kwa Mayele. Unapomtegemea mchezaji mmoja ndo afunge unairahisishia timu pinzani kuunda mkakati wa kumzuia hasa unapokutana na timu bora.Simba kwa mfano asipofunga Mosses Phiri Chama,Sakho,Okra, watafunga.

5. Idadi ndogo ya wachezaji kuingia eneo la mpinzani. Yanga wanaposhambulia huwa wanakuwa wachache eneo la mpinzani na hivyo kuwarahisishia wapinzani kuokoa mipia kwa urahisi au krosi nyingi kukosa mtu wa kumalizia.

Mimi haya ndo niliyoyaona,karibuni tuendelee kuwapa ushauri.
Hao warabu hawana mapungufu?
 
Mnaambiwa ukweli lakini mnalete habari za vibonde wenzenu Azam
Kesho mtageuka ngoma mnayosemega
 
Mnaambiwa ukweli lakini mnaleta habari za vibonde wenzenu Azam
Kesho mtageuka ngoma mnayosemega
 
We Dube hakukufunga kweli
Unataka kuleta story za mwaka gani! Mimi naongelea wiki iliyopita!

Kwanza Yanga haiwezi kujifunza kwa timu ambayo anaifunga tu vile apendavyo! Timu gani Ikijitahidi sana, basi inatoa sare!!
 
Hakika aliewaita utopolo aliwaza mbali sana
Unataka kuleta story za mwaka gani! Mimi naongelea wiki iliyopita!

Kwanza Yanga haiwezi kujifunza kwa timu ambayo anaifunga tu vile apendavyo! Timu gani Ikijitahidi sana, basi inatoa sare!!
 
Hakuna kitu kinauzi kama unahitaji magoli halafu una shambulia kwa taratibu, back pass nyingi, namba ya wachezaji wako ni ndogo kwenye kumi na nane ya mpinzani kulinganisha na washambuliaji wako. Hapo goli utapata vipi?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kesho Yanga watatupa karata yao dhidi ya Club Africain ya Tunisia. Kwangu hii ni mechi ngumu kuliko ile ya Al hilal. Yafuatayo ni mafungufu ambayo km kocha hajayafanyia kazi basi itakuwa ngumu kusonga mbele.

1.Kutengeneza mashambulizi kwa taratibu( slow). Warabu wakiwa ugenini huwa wanapenda kuipoozesha "game". Sasa km Yanga wataingia na staili ya "slow" km tulivyowazoea basi biashara itakuwa imeisha.

Yanga wanatakiwa kushambulia kwa kasi Ili kuweze kupata ubora wa Morison anaependa mpira wa nipe nikupe kwa kasi hapo ndipo huwa anapata mwanya wa kulazimisha timu pinzani kufanya makosa na kuweza kupata penalt au faulo nje ya 18.

2.Wawe makini na shambulizi la kushitukiza( Counter attacks). Mechi mbili na Al hilal Yanga walifungwa magoli mawili yanayofanana tena na mchezaji mmoja. Goli la Okra dhidi ya Simba ilikuwa ni counter pia. Ni km kocha ameshindwa kuwaelekeza wachezaji jinsi ya kuchukua tahari wakati wanapoenda mbele kushambulia. Kwenye Counter shape ya timu huwa inakaa ovyo sana. Wachezaji wanaenda kukaba huku wamerundikana km mafungu ya nyanya. Wakipigwa chenga wote wanapotea. Na nadhani Club Africain watakuwa wamezifatilia kwa makini mechi za Yanga na kibaini haya niliyoyasema.

3. Udhaifu sehemu ya kiungo mkabaji na beki wa kati. Hili kila mtu analijua hakuna haja ya kuongea sana.

4. Mashambulizi yote kupitia kwa Mayele. Unapomtegemea mchezaji mmoja ndo afunge unairahisishia timu pinzani kuunda mkakati wa kumzuia hasa unapokutana na timu bora.Simba kwa mfano asipofunga Mosses Phiri Chama,Sakho,Okra, watafunga.

5. Idadi ndogo ya wachezaji kuingia eneo la mpinzani. Yanga wanaposhambulia huwa wanakuwa wachache eneo la mpinzani na hivyo kuwarahisishia wapinzani kuokoa mipia kwa urahisi au krosi nyingi kukosa mtu wa kumalizia.

Mimi haya ndo niliyoyaona,karibuni tuendelee kuwapa ushauri.
Wasiliana na dube kwanza,mpumelelo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom