yanga badilisheni jezi....

yanga badilisheni jezi....

Kirode

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
3,566
Reaction score
84
habari bandugu zaidi ya yote ritz na zomba napenda mpate taarifa mimi ni mpenzi mkubwa wa yanga tangu 1981. ila niliamua kuihama yanga na kuhamia azam kwa ajili tu ya rangi zao maamuzi haya niliyafanya 1994 baada ya kuamua kuhama analogia ..niliamua hata kabla azam haijaanzishwa any way kwa kufupisha naomba yanga wabadili rangi zao ili hata ambao tumejificha azam kwa ajili hii turudi kundini.....karibuni kwa maoni na matusi kidogo.........cc.... zomba,rizt mafegi, tume ya katiba, na laaana wenzao.....
 
yanga inakatiba yake na logo yake na ccm vilevile hivyo yanga na ccm ni vitu viwili tofauti.kama kweli we ni mpenz wa yanga huwez kuikimbia kwa sababu ya rangi ambayo inafanan na ccm.
 
habari bandugu zaidi ya yote ritz na zomba napenda mpate taarifa mimi ni mpenzi mkubwa wa yanga tangu 1981. ila niliamua kuihama yanga na kuhamia azam kwa ajili tu ya rangi zao maamuzi haya niliyafanya 1994 baada ya kuamua kuhama analogia ..niliamua hata kabla azam haijaanzishwa any way kwa kufupisha naomba yanga wabadili rangi zao ili hata ambao tumejificha azam kwa ajili hii turudi kundini.....karibuni kwa maoni na matusi kidogo.........cc.... zomba,rizt mafegi, tume ya katiba, na laaana wenzao.....

We KAKUKU utakuwa temba, unahaha pa kutagia, na utataga tu hata kama ni juu ya jiwe, utataga tu maana yai limeanza kuuma kwenye masaburi
 
habari bandugu zaidi ya yote ritz na zomba napenda mpate taarifa mimi ni mpenzi mkubwa wa yanga tangu 1981. ila niliamua kuihama yanga na kuhamia azam kwa ajili tu ya rangi zao maamuzi haya niliyafanya 1994 baada ya kuamua kuhama analogia ..niliamua hata kabla azam haijaanzishwa any way kwa kufupisha naomba yanga wabadili rangi zao ili hata ambao tumejificha azam kwa ajili hii turudi kundini.....karibuni kwa maoni na matusi kidogo.........cc.... zomba,rizt mafegi, tume ya katiba, na laaana wenzao.....
umenikumbusha kuna rafiki yangu mmoja hapendi tomato soas eti kwa sbb inafanana na rangi za mwezini za wife! Anwayz wewe ungehamia Simba kabisa, mtu anapenda timu na sio rangi ya jezi! Zingatia kwamba Yanga ndio timu yenye mashabiki wengi EA
 
Yanga imeanza kabra ya CCM hao Magamba ndio wabadilishe rangi....NAIPENDA YANGA NAICHUKIA CCM.
 
wameshakubali, wachukua rangi nyekundu, rangi ya mnyama. Naipenda simba naichukia yanga.
 
habari bandugu zaidi ya yote ritz na zomba napenda mpate taarifa mimi ni mpenzi mkubwa wa yanga tangu 1981. ila niliamua kuihama yanga na kuhamia azam kwa ajili tu ya rangi zao maamuzi haya niliyafanya 1994 baada ya kuamua kuhama analogia ..niliamua hata kabla azam haijaanzishwa any way kwa kufupisha naomba yanga wabadili rangi zao ili hata ambao tumejificha azam kwa ajili hii turudi kundini.....karibuni kwa maoni na matusi kidogo.........cc.... zomba,rizt mafegi, tume ya katiba, na laaana wenzao.....
Mimi ni fan wa Liverpool (red) na Yanga (yellow + green).And that speaks volumes about colour ideologies!Shove it!
 
habari bandugu zaidi ya yote ritz na zomba napenda mpate taarifa mimi ni mpenzi mkubwa wa yanga tangu 1981. ila niliamua kuihama yanga na kuhamia azam kwa ajili tu ya rangi zao maamuzi haya niliyafanya 1994 baada ya kuamua kuhama analogia ..niliamua hata kabla azam haijaanzishwa any way kwa kufupisha naomba yanga wabadili rangi zao ili hata ambao tumejificha azam kwa ajili hii turudi kundini.....karibuni kwa maoni na matusi kidogo.........cc.... zomba,rizt mafegi, tume ya katiba, na laaana wenzao.....

Hapo kwenye red nina mashaka,maana lamba lamba walikuwa hawana kwanda hata kimoja,let alone football team..!!!
 
Utakuwa chiz wwe,chama chako na yanga wap na wap..we bak huko huko atutak maxhabk waco jielewa
 
Yanga imeanza kabra ya CCM hao Magamba ndio wabadilishe rangi....NAIPENDA YANGA NAICHUKIA CCM.

asante mkuu ntakuigA.......kuanzia leo narudi yanga rohoni ila jezi sivai maana ntawashwA
 
Maccm yameiga kwa Yanga rangi hizo

Heri ya CCM waliiga rangi za jezi za Yanga, wasingeweza kuiga rangi za Simba kwa vile ni nyekundu na nyeupe. Rangi nyekundu ni alama ya kuwa 'period' na nyeupe ni alama ya pedi. Recreative do Libolo lilipoona hivyo halikujali, likatupia kimoja Dar na vinne huko Angola. Yanga oyeee!
 
Heri ya CCM waliiga rangi za jezi za Yanga, wasingeweza kuiga rangi za Simba kwa vile ni nyekundu na nyeupe. Rangi nyekundu ni alama ya kuwa 'period' na nyeupe ni alama ya pedi. Recreative do Libolo lilipoona hivyo halikujali, likatupia kimoja Dar na vinne huko Angola. Yanga oyeee!

Oyeeeee!
 

Mazungumzo ya Simba na Libolo yalikuwa hivi:
Libolo: tangu tuachane, hujakutana na mwingine?
Simba: ndiyo Sweet.
Libolo: sasa huku Angola umefuata nini?
Simba: nimefuata Libolo.
Libolo: umenipata.
Simba: utanipiga goli ngapi?
Libolo: idadi itategemea your cooperation!
 
Mazungumzo ya Simba na Libolo yalikuwa hivi:
Libolo: tangu tuachane, hujakutana na mwingine?
Simba: ndiyo Sweet.
Libolo: sasa huku Angola umefuata nini?
Simba: nimefuata Libolo.
Libolo: umenipata.
Simba: utanipiga goli ngapi?
Libolo: idadi itategemea your cooperation!

Ha ha ha ha ha acha hizo wewe!
 
Lol. Nilikuwa nawaza la kuumpa ila hili ni kubwa limemtosha. Atage fastaa jogoo anataka vitu
 
Back
Top Bottom