Mwamba wa Tanga
Member
- Apr 4, 2024
- 39
- 172
Mchana huu napokea taarifa kutoka Pangani naambiwa Yanga atakufa kifo kibaya sana
Pia napewa taarifa wazee wa utopolo walishindwa kuchomoa mitego yote
Wamepangua mitatu imebaki miwili
Asanteni kwa kuniskiliza
Pia napewa taarifa wazee wa utopolo walishindwa kuchomoa mitego yote
Wamepangua mitatu imebaki miwili
Asanteni kwa kuniskiliza