Pamputi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 982
- 724
Kuna hali kubwa ya sintofahamu inaendelea katika chama cha wananchi CUF ambacho ni moja kati ya vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA.
Cha ajabu ni kwamba mpaka sasa si CDM wala NLD wala NCCR ambao wameonyesha atleast hali ya kuwa wanaguswa na mgogoro ule they are all silents.
Sasa sisi wananchi na wakereketwa wa ukawa tunalazimika kuhoji
1_ Je, Mgogoro huu hauwezi kuathiri mipango ya ukawa ya mbeleni kama hautotatuliwa?
2_Je, Ukimya wa wanandoa wa ukawa upaswe kuwa kama kielelezo cha umauti wa ndoa hiyo?
3_Je, Viongozi na waasisi wa ukawa hawalioni hili?
Na maswali mengine kadha wa kadha
Kunani UKAWA ?
Cha ajabu ni kwamba mpaka sasa si CDM wala NLD wala NCCR ambao wameonyesha atleast hali ya kuwa wanaguswa na mgogoro ule they are all silents.
Sasa sisi wananchi na wakereketwa wa ukawa tunalazimika kuhoji
1_ Je, Mgogoro huu hauwezi kuathiri mipango ya ukawa ya mbeleni kama hautotatuliwa?
2_Je, Ukimya wa wanandoa wa ukawa upaswe kuwa kama kielelezo cha umauti wa ndoa hiyo?
3_Je, Viongozi na waasisi wa ukawa hawalioni hili?
Na maswali mengine kadha wa kadha
Kunani UKAWA ?