Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,046
Wanajamvi kwa takribani mwaka sasa na kupita tunaona nakusikia pamoja na kusoma kwenye mitandao na vyombo vingine vya habari kuhusu kuwepo migogoro katika chama cha Demokrasia na Maendeleo. Nataka leo wanajamvi tujadiri na mwisho tuje na suluhu na migogoro hii inayotokea katika chama cha CHADEMA. Migogoro hii inayotokea ikiwa inawahusisha viongozi wa juu wa CHADEMA, BAVICHA na wafaasi wa chama.
Ukweli kabisa CHADEMA kuwa na migogoro hii ambayo haina tija kwa chama bali kukibomoa chama inabidi itatuliwe mapema lasivyo CHADEMA haitahaminika tena mbele ya wananchi wa watanzania ambao walikuwa wanaendelea kujiunga na chama.
NAOMBA TUJADIRI KWA MALENGO MAZURI NA YENYE TIJA YA KUKINUSURU CHAMA.
Ukweli kabisa CHADEMA kuwa na migogoro hii ambayo haina tija kwa chama bali kukibomoa chama inabidi itatuliwe mapema lasivyo CHADEMA haitahaminika tena mbele ya wananchi wa watanzania ambao walikuwa wanaendelea kujiunga na chama.
NAOMBA TUJADIRI KWA MALENGO MAZURI NA YENYE TIJA YA KUKINUSURU CHAMA.