Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
Samahani wanainchi mi ni mwandisi wa Habari sa uchungusi, ilinibidi kuzama dom na hatimaye mtaani kujioneya yanayojiri usiku baada ya bunge ni UOZO! Huwezi kuamini kuona wabunge tunaowatarajia walinde maadili na kuwaelimisha wanachi wao ndio wa kwanza kwenda kunua MACHANGUDOA WANAOJIUZA! Nimesikitika sana, Bungeni kelele tu wakirudi huku nako uchafu tu, jaman hawa si wanaharibu nchi yetu? Ni mara mia ingetokea ufanywe msako kwenye maguest wanakolala ndo mngeona uozo ulivyo! Si wote lakini. Axkyusi! ray: