Yanayosemwa Kwenye Magroup ya Wana CCM

Yanayosemwa Kwenye Magroup ya Wana CCM

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau
Huwa napitia na kusoma habari kutoka Magroup mbalimbali ya Wana CCM mitandaoni.
Nimeona post kadhaa hivi karibuni zikizungumzia pengo la wazi aliloliacha Prof. Muhongo kwenye sekta ya nishati hususani changamoto ya upatikanaji na usambazaji wake hasa vijijini.
Aksanteni.
 
Hawashangai Kalemani kuendelea kuwepo kazini huku kazi ikiwa imemshinda!?

Wadau
Huwa napitia na kusoma habari kutoka Magroup mbalimbali ya Wana CCM mitandaoni.
Nimeona post kadhaa hivi karibuni zikizungumzia pengo la wazi aliloliacha Prof. Muhongo hususani changamoto ya nishati na usambazaji wake hasa vijijini.
Aksanteni.
 
Leo wanajadili Mange Kimambi wamefanikiwa kufuta akaunti yake haipo tena
 
Hawashangai Kalemani kuendelea kuwepo kazini huku kazi ikiwa imemshinda!?
Mi hata iweje siwezi kuwa mwana bavicha
Wadau
Huwa napitia na kusoma habari kutoka Magroup mbalimbali ya Wana CCM mitandaoni.
Nimeona post kadhaa hivi karibuni zikizungumzia pengo la wazi aliloliacha Prof. Muhongo hususani changamoto ya nishati na usambazaji wake hasa vijijini.
Aksanteni.
 
Wadau
Huwa napitia na kusoma habari kutoka Magroup mbalimbali ya Wana CCM mitandaoni.
Nimeona post kadhaa hivi karibuni zikizungumzia pengo la wazi aliloliacha Prof. Muhongo hususani changamoto ya nishati na usambazaji wake hasa vijijini.
Aksanteni.


Kwa hiyo kama angekuwa amekufa ndo angeenda na Umeme wa Tanzania forever? Acheni kuendekeza umungu mtu, kuna wengi tu wenye uwezo kama wake na zaidi!
 
Wadau
Huwa napitia na kusoma habari kutoka Magroup mbalimbali ya Wana CCM mitandaoni.
Nimeona post kadhaa hivi karibuni zikizungumzia pengo la wazi aliloliacha Prof. Muhongo kwenye sekta ya nishati hususani changamoto ya upatikanaji na usambazaji wake hasa vijijini.
Aksanteni.
Hmm! Kwani tuna sekta ya nishati nchi hii? Maana tuliambiwa itabaki kuwa historia, au walimaanisha nini?...
 
Muhongo au Mramba!?....ccm mmechanganyikiwa nyie...Mramba ndie kaacha pengo
 
"Ni baraka kwa mungu kumzomea fisadi kama lowassa "by godbless lema
mbona unaangalia maneno ya wanasiasas wa upinzani tu,kuna kauli ngapi wanasaisa wa chama tawala wamezisema lakini mwisho wa siku wameenda kinyume na matamko yao! kubadili matamko ya kisiasa ni sehemu ya mchezo wa siasa unaofanywa na wanasiasa wote duniani
 
mbona unaangalia maneno ya wanasiasas wa upinzani tu,kuna kauli ngapi wanasaisa wa chama tawala wamezisema lakini mwisho wa siku wameenda kinyume na matamko yao! kubadili matamko ya kisiasa ni sehemu ya mchezo wa siasa unaofanywa na wanasiasa wote duniani
Mi sijakataa nilikuwa naweka kumbukumbu sawa we kama unayakumbuka ya chama tawala yaweke
 
Uzuri huwa wanajua tatizo ni nini na chanzo chake nini ila frustration ndio inawamaliza
 
Back
Top Bottom