Yanayojiri katika kikao cha Kamati Kuu Chadema

Yanayojiri katika kikao cha Kamati Kuu Chadema

Pamojaa na kuw mchokoa mada ni mzushi bado nina imani ya kua Lowassa siku zake ndani yaCDM zinahesabika kwani hana lolote wala hajawahi kuifanyia CDM chochote toka ajiunge ...

Lowassa na udhaifu wake alionewa kupewa bendera ya upinzani kuipeperusha, hafai na haitokaa ije itokee goigoi kama Lowassa aunufaishe CDM na upinzani.

Lowassa ana makandokando yake na ndicho kilichompeleka Ikulu kwenda kuweka mambo sawa... Haiwezekani wengine wanateseka huku yeye anaenda Ikulu kuimba na kusifia...

TZ tunauhitaji wa upinzani wenye nguvu, wenye misimamo isiyoyumbishwa na utawala na si huu wa kusifu na kutoa matamko.
Si mlikuwa mnapiga mapambio kwamba lowasa kawapatia wabunge wengi na madiwani...Leo hii mnageuka mnasema hajawafanyia chochote..muwe na shukrani
 
Agenda ya kikao ni kukubali kushiriki uchaguzi kwa majimbo ya kinondoni na Siha
 
Janja ya chadema ndio kwanza nasikia kikao kikubwa kama cha kamati kuu ya chama cha siku moja kinaahorishwa sababu ya msiba wa MTU ambaye kafariki ambaye si kiongozi wa Chadema ni ndugu wa mwanachadema.Kwa hiyo ndugu wa viongozi wa chadema watakuwa wakiahirisha hata mkutano mkuu wa uchaguzi? Kwa nini huo msiba usingesubiri kikao cha kamati kuu kiishe?.
 
Janja ya chadema ndio kwanza nasikia kikao kikubwa kama cha kamati kuu ya chama cha siku moja kinaahorishwa sababu ya msiba wa MTU ambaye kafariki ambaye si kiongozi wa Chadema ni ndugu wa mwanachadema.Kwa hiyo ndugu wa viongozi wa chadema watakuwa wakiahirisha hata mkutano mkuu wa uchaguzi? Kwa nini huo msiba usingesubiri kikao cha kamati kuu kiishe?.
Hivi ninyi watu wa lumumba mambo ya cdm mnayashupalia na kukaza mishipa ya shingo yanawahusuje? Ninyi mnayoyafanya huwa mna guts za kuhoji hata moja?
Haya, jana imf na airtel wamewapiga za chembe! Kwanini hamjengi hoja kuwahusu? Acheni mambo yenu ya ushakunaku na mjikite kwenye mbinu na njia za kuunusuru uchumi na kukusanya kodi! Mnakera mno as if huko kichwani mmejaza matope!
Kwa kifupi hamumsaidii mwenyekiti wenu kwa kumpa mbinu za kutekeleza sera za chama chenu badala yake mpo humu kumchonganisha na wananchi ambao wana shida nyingi tu pamoja na kukosa ajira mkidhani anawafurahia kumbe anawaona mazwazwa tu yasiyokuwa na faida! Pathetic!
 
Pamojaa na kuw mchokoa mada ni mzushi bado nina imani ya kua Lowassa siku zake ndani yaCDM zinahesabika kwani hana lolote wala hajawahi kuifanyia CDM chochote toka ajiunge ...

Lowassa na udhaifu wake alionewa kupewa bendera ya upinzani kuipeperusha, hafai na haitokaa ije itokee goigoi kama Lowassa aunufaishe CDM na upinzani.

Lowassa ana makandokando yake na ndicho kilichompeleka Ikulu kwenda kuweka mambo sawa... Haiwezekani wengine wanateseka huku yeye anaenda Ikulu kuimba na kusifia...

TZ tunauhitaji wa upinzani wenye nguvu, wenye misimamo isiyoyumbishwa na utawala na si huu wa kusifu na kutoa matamko.
Kubukumbu ni kitu muhimu! Nguvu ya Lowassa Leo CDM inaongoza miji yote mikubwa tanzania
 
Muda si mrefu kikao cha kamati kuu ya Chadema kilichoitishwa kwa dharura kitaanza. Agenda za kikao haxijawekwa bayana lakini wanachadema wengi wanadhani itakuwa ni kumjadili mzee Lowassa kwa kitendo chake cha kutimba magogoni bila ruhusa ya mwenyekiti wa chama. Tutajuzana yanayojiri hapa hapa, karibu!
Haiwezekani mwenye chama akaomba ruksa kwa mesenja wake bana
 
Mmenikumbusha mazishi ya kitaifa ya Mbwa wa Nassari
Msiba ndio alitakiwa uahirishwe hadi kikao cha kamati kuu kimalizike sio kikao cha kamati kuu kiahirishwe sababu ya msiba.Chadema hovyo sana.Hivi kikao gani cha chama kilichotoa hayo maamuzi mazito ya kuahirisha kikao kizito kama cha kamati kuu? Na sababu nzito zipi zilitolewa kwenye hicho kikao kuhalalisha kisifanyike.Hii kitu kuna mjanja kapanga siku mkutano mkuu wa kitaifa wa uchaguzi ukifika yaweza letwa taarifa kuwa mkutano umeahirishwa hadi msiba wa hawara yake na kiongozi mwenzetu uishe na akae matanga siku 40 ! MTU akibisha ataambiwa kawaida hata kamati kuu kikao chake kiliwahi ahirishwa kwa mambo kama haya ya misiba
 
Kuna jitu fulani enzi hizo likijiita TUNTEMEKE naona hata id yenyewe ilishafutwa; sijui liliishiaga wapi?
 
Janja ya chadema ndio kwanza nasikia kikao kikubwa kama cha kamati kuu ya chama cha siku moja kinaahorishwa sababu ya msiba wa MTU ambaye kafariki ambaye si kiongozi wa Chadema ni ndugu wa mwanachadema.Kwa hiyo ndugu wa viongozi wa chadema watakuwa wakiahirisha hata mkutano mkuu wa uchaguzi? Kwa nini huo msiba usingesubiri kikao cha kamati kuu kiishe?.
Pole sana. Siku ukifiwa unapanga taratibu kutokana na mazingira na mahitaji yako/yenu wafiwa.
 
Back
Top Bottom