Yanayojiri katika Kamati Kuu ya CHADEMA - Jan 04, 2013

Yanayojiri katika Kamati Kuu ya CHADEMA - Jan 04, 2013

Status
Not open for further replies.
Ukiona hao maninja, jua wazi damu lazima imwagike hapo.

Kwani huyu kaonekana maeneo ya karibu na hapo? Maana huyu ndio mmwagaji damu anayefahamika.
ImageUploadedByJamiiForums1388835897.687321.jpg
 
hahahaha utetezi dhaifu, kwani alitangaza nia ya kuwa bwaga hao kihalali? sasa kwa nini isyo halali ilinganishwe na halali? yeye kosa lake ni hilo ajibu kwanza
 
nitafurahi pale upinzani utakapochukua nchi, ila tuwe wakweli hata kama hatuipendi CCM lakini hamna dalili zozote zile za upinzani kushnda uchaguzi 2015, ni ukweli ambao hata mimi sitaki kuusikia..

Mkuu wote tunatamani iwe hivyo lakini tuliowaamini watuongoze kwenye mabadiliko wanatuangusha!Ukitaka kuhoji utaitwa mala msaliti,oo sijui buku ngapi!Kifupi habari za wapinzani kuingia ikulu tunadanganyana!
 
Hivi mbona unapost kama vile Mwenyekiti Mbowe. ndio Sheria za Chadema
 
Dr mkumbo aitwa aingia ukumbini huku watu waliovalia kama maninja wakiwa mlangoni.

Akaribishwa na mbowe kisha aomba kusalimia kwanza na kuomba mwongozo.

Aomba mbowe na slaa wasiongoze kikao kwa sababu aliwaandalia mkakati wa kuwashinda wao katika uchaguzi 2013 waraka ulionaswa na kusababisha aondolewe nafasi yake ya uongozi

asema bias na conflict of interest ipo hapo sasa hawezi kujadiliwa na kamati inayoongozwa na hao viongozi, apendekeza makamu zanzibar na naibu katibu zanzibar waongoze kamati.

Mjumbe mmoja aunga mkono na kuomba hoja hiyo ijadiliwe kwanza watu waamue lakini mboe avua miwani aweka mezani avaa mingine, anywa maji kwanza.

Lema anahema juu juu...


Kikao kimesita kwa muda huku mbowe akisoma sms za simu yake


nitaleta updates wakuu

Ulilo andika hapa ni upotoshi wa wazi nawa dhahiri wenye malengo unayoyajua wewe.

Ukweli ni upi?

1. Redbrigade hawavai wala hawaja wahi kuvaa kama maninja kama unavyo sema. Kama kweli uko eneo la tukio ingia upige picha kama udhibitisho.

2. Dr Kitilla bado anasikiliza mashtaka yake na hajasema chochote mpaka sasa.

3. Hakuna mjumbe yoyote aliye unga hoja yoyote maana hajatoa hoja yoyote kama ulivyosema. Hoja inaungwa mkono au kutokuungwa baada ya kutolewa. Haipo.

4. Kikao kinandelea hakuna na hakukuwa na usitishwaji wowote kama unavyopotosha.

JItahidi kuwa mkweli wa dhamira na matendo unapo amua kushirikisha ubongo wako.

Jamii forums iache kutumika kama jalala la kumwaga uongo, uzushi, umbeya usio kuwa na tija
 
nitafurahi pale upinzani utakapochukua nchi, ila tuwe wakweli hata kama hatuipendi CCM lakini hamna dalili zozote zile za upinzani kushnda uchaguzi 2015, ni ukweli ambao hata mimi sitaki kuusikia..

Yaani utakuwa na mawazo dhaifu saana, lengo la kutengeneza migogoro ni hilo kwamab waTz wapumbazwe na waju kuwa hamana zaidi ya CCM, utakuwa hutumii akili mkuu!
 
Hivi hiki chama ama genge, cjawahi kusikia mtu yupo CC ya ccm na anavujisha yanayoendelea.
 
Sasa wewe uko kwenye kikao ama uko upande wa kuzua umbea? tulia,tizama,changia,jenga hoja na ukisaidie chama kwa leo ...mwenzetu ndo kwanza uko busy na updates,heshimu kikao basi hata kama sikuoni unachokifanya hapo ukinaswa utasema nani kakuruhusu kutoa taharifa nje ama uko upande wa Kurugenzi ya habari? ukidakwa ukadhibitiwa utaanza kusema mara oho mara sijuhi Mbowe,childish!
 
Hivi hiki chama ama genge, cjawahi kusikia mtu yupo CC ya ccm na anavujisha yanayoendelea.


Wewe nawe kaa kimya.... Hata wewe mwenyewe una hakika kilichoandikwa hapa ni uongo... Acha wivu eti chama au genge, utasutwa mwanaume mzima, tulia ujenge chama chako nacho kisikike kama chadema!
 
Kwa jinsi hali ilivyo ndani ya kikao husika,haiwezekani kupatikana kwa updates kwa njia yoyote.Hata sisi mabingwa wa intelijensia leo tumechemka. Hakuna hata mjumbe mmoja anayepatikana hewaniwala aliyeiacha simu yake 'on' kwa namna yoyote. Wewe unatamani kinachoendelea ndani ya CHADEMA kuliko sisi CCM!? Mtoa mada simwamini

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Sasa wewe uko kwenye kikao ama uko upande wa kuzua umbea? tulia,tizama,changia,jenga hoja na ukisaidie chama kwa leo ...mwenzetu ndo kwanza uko busy na updates,heshimu kikao basi hata kama sikuoni unachokifanya hapo ukinaswa utasema nani kakuruhusu kutoa taharifa nje ama uko upande wa Kurugenzi ya habari? ukidakwa ukadhibitiwa utaanza kusema mara oho mara sijuhi Mbowe,childish!

Rweye anachoandika ni uongo mtupu, sijui ana lengo gani mjinga kabisa huyu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom