Yanayojiri katika Kamati Kuu ya CHADEMA - Jan 04, 2013

Yanayojiri katika Kamati Kuu ya CHADEMA - Jan 04, 2013

Status
Not open for further replies.

Kongamano

Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
42
Reaction score
8
Dr mkumbo aitwa aingia ukumbini huku watu waliovalia kama maninja wakiwa mlangoni.

Akaribishwa na mbowe kisha aomba kusalimia kwanza na kuomba mwongozo.

Aomba mbowe na slaa wasiongoze kikao kwa sababu aliwaandalia mkakati wa kuwashinda wao katika uchaguzi 2013 waraka ulionaswa na kusababisha aondolewe nafasi yake ya uongozi

asema bias na conflict of interest ipo hapo sasa hawezi kujadiliwa na kamati inayoongozwa na hao viongozi, apendekeza makamu zanzibar na naibu katibu zanzibar waongoze kamati.

Mjumbe mmoja aunga mkono na kuomba hoja hiyo ijadiliwe kwanza watu waamue lakini mboe avua miwani aweka mezani avaa mingine, anywa maji kwanza.

Lema anahema juu juu...


Kikao kimesita kwa muda huku mbowe akisoma sms za simu yake


nitaleta updates wakuu


UPDATES!

Mwenyekiti amemuruhusu lema aongee, lema apendekeza wajumbe wa CC wapige kura ili kupata msimamo wa ombi la Dr kitila

Miguno yasikika, wengine wanyoosha mikono lakini mbowe asema hili suala sio la kujadili muda mrefu yeye asema kura zipigwe tu haina haja ya kuvutana kwa hoja hii...

watu waguna, Mnyika alitoka nje wakati Dr kitila anaitwa kijana mnyika hajarudi mpaka sasa huku yeye ndo msemaji wa chama, wala hatujui kaenda wapi.

Mwenyekti aonya simu na watu kupost yanayoendelea...nazima simu wakuu ingawa napost kwa kificho sana nikiwa humu kikaoni


UPDATES TENA!

Mbowe ajichanganya tena aruhusu kura zipigwe kwa kauli iliyoshangaza wengi amesema kuwa.
''kwa kuwa tumepata maoni ya pande zote mbili, upande wetu umependekea kura ziamue na upande wao ulitaka tujadili kwa kuvutana tupoteze muda, sasa kiti kinaamua kuruhusu kura kwa sababu ndio njia ya pekee''
 
Mbowe huki akisoma SMS, nadhani ni maelekezo kutoka kwa Mtei.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
shusha mambo mkuu, tunangojea.
 
Nawewe ni mmoja wa wafanyakazi wa magazeti ya Global? Yaani kichwa cha habari kimenitisha.
 
Ni Likanjanja fulani, linalojitekenya na kucheka lenyewe. Mimi sioni hata moto uliosemwa kwenye kichwa cha habari. Halafu unatuambia, ni mjumbe mmoja tu kati ya wajumbe kibao aliyeunga mkono! Sasa huo motooo au taka-laini
 
hahaha.,....
Nawaza tu ndoto ya CHADEMA kushika nchi ikitimia.
 
Huu ni utani katika siasa.
Sidhani kama Dr.Kitila kaenda kujitetea kwa staili dhaifu sana kama hiyo.
Yeye ameitwa kujitetea kwa mdomo ndani ya kamati kuu na sio kuleta agenda mpya.
 
Ahsante kwa taarifa mkuu,angalia lakini hao waliovalia kininja!
 
Kwa nini wavae ninja, yaonyesha hawana teknolojia za kiusalama.

Ninja zilishapitwa na wakati, mitambo tu yatosha.
 
Ukiona hao maninja, jua wazi damu lazima imwagike hapo.
 
hahaha.,....
Nawaza tu ndoto ya CHADEMA kushika nchi ikitimia.

nitafurahi pale upinzani utakapochukua nchi, ila tuwe wakweli hata kama hatuipendi CCM lakini hamna dalili zozote zile za upinzani kushnda uchaguzi 2015, ni ukweli ambao hata mimi sitaki kuusikia..
 
CDM wajisajili mapema waanze kunywa ARVs maana CD 4 zao zimeshuka sana na hasa hio kamati kuu. Kwishney
 
Ukanjanja mwingine bwana.....subirini atanyolewa tu.....pamoja na zzk aliyeenda Njombe kununua wajumbe
 
nitafurahi pale upinzani utakapochukua nchi, ila tuwe wakweli hata kama hatuipendi CCM lakini hamna dalili zozote zile za upinzani kushnda uchaguzi 2015, ni ukweli ambao hata mimi sitaki kuusikia..

Lazima usiupende maana mnajua upinzani makini ukiingia Ikulu mtafungwa tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom