Kiwanda cha matairi huko Arusha nacho kinaendelea kujengwa qmbapo kitapunguza uagizwaji wa matairi kutoka nchi za Asia na kitachochea kilimo cha mpira hapa nchini
Katika kuonyesha kuwa bado anakumbuka madhila yaliyompata akiwa katibu mwenezi wa chadema taifa ya kuitwa sisimizi hadi kuamua kukihama chama hicho na kujiunga na NCCR MAGEUZI mbunge wa kigoma kusini David Kafulila wakati anawasilisha bajeti ya wizara kivuli ya viwanda na biashara amesema kuwa anawasilisha bajeti ya UKAWA badala ya kusema kambi ya upinzani bungeni.
Kosa hili la Kafulila sio la bahati mbaya, ni kumbukumbu ya kidonda kilichopo moyoni mwake cha muda mrefu cha kuitwa sisimizi.
Namshauri Kafulila asimame na miguu yake.CHADEMA haina shukrani.
Kusema kweli sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana.HIVI UKAWA NI NINI.
Imesajiliwa wapi,
Nani viongozi wa UKAWA.
Nini madhumuni ya Ukawa.
Wapi katiba ya ukawa na malengo yake.
HIVI SISI TUMEKUWA WATU WA KUSHABIKIA kundi lisilokuwa na katiba,viongozi,wala malengo?
OFISI ZA UKAWA ZIKO WAPI.
Mimi napata tabu kutathimini kundi hili.
cdm+cuf+nccr mageuzi+ndl+dp=ukombozi wa nchi?
Kusema kweli sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana.HIVI UKAWA NI NINI.
Imesajiliwa wapi,
Nani viongozi wa UKAWA.
Nini madhumuni ya Ukawa.
Wapi katiba ya ukawa na malengo yake.
HIVI SISI TUMEKUWA WATU WA KUSHABIKIA kundi lisilokuwa na katiba,viongozi,wala malengo?
OFISI ZA UKAWA ZIKO WAPI.
Mimi napata tabu kutathimini kundi hili.
cdm+cuf+nccr mageuzi+ndl+dp=ukombozi wa nchi?