samsolo the great
JF-Expert Member
- Jul 9, 2021
- 682
- 1,016
Maandamano yameshika kasi katika maeneo yale yanayoungwa na mzee wa kitendawili na si Kenya as wide.Lakini huyo Raila mimi nashindwa kumwelewa kwa namna nchi ya Kenya inavyoendesha mambo ni tofauti kabisa na nchi kama Tz ambapo baada ya uchaguzi wa Rais kama hujaridhika na matokeo unapeleka mahakama ya upeo wanaona kama mshindi ni halali au la na alifanya hivyo na akabwagwa.Labda hoja yake ambayo ni halali ni hiyo ya inflation ya vyakulaKatika Kaunti 47 ni kaunti ngapi zilifanya maandamano ya kusimamisha nchi?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app