Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
Nliskia dw wakisema ni wanajeshi 2!!! Kumbe ni 18 ?? Netanyahu kazi anayo!!
baada ya israel kuwaua wanamapambano wa lebanon sita sasa hzbullah wamejibu kipigo na kushambulia wanajeshi wa israel
Wanajeshi 18 wa israel wameangamizwa na hzbullah huku israel ikidanganya kuwa ni wanajeshi wake wawili tu waliouawa
Hii Imedhirisha Wazi Kuwa Na Jinsi Gani Wanamapambano Wa Hzbullah Wanaweza Kukabiliana Na Israel Bila Uoga
Size Ya Israel Ni Hamas Na Siyo Hzbullah Weledi Wa Mambo Wanasema
Endapo Israel Itaanzisha Mashambulizi Huko Lebanon,huenda Wakapigwa Vibaya Na Hzbullah
Ikumbukwe Kuwa Mwaka 2006 Israel Ilianzisha Mashambulizi Dhidi Ya Hzbullah Vita Vilovyodumu Kwa Siku 22 Ambapo Hzbullah Ilipata Ushindi Mkubwa Na Kuifanya Israel Kupata Kipigo Aibu Na Fedheha Hadi Baadhi Ya Viongozi Wa Israel Kujiuzulu
Ebu fafanua ushindi ulikuwaje ?
baada ya israel kuwaua wanamapambano wa lebanon sita sasa hzbullah wamejibu kipigo na kushambulia wanajeshi wa israel
Wanajeshi 18 wa israel wameangamizwa na hzbullah huku israel ikidanganya kuwa ni wanajeshi wake wawili tu waliouawa
Hii Imedhirisha Wazi Kuwa Na Jinsi Gani Wanamapambano Wa Hzbullah Wanaweza Kukabiliana Na Israel Bila Uoga
Size Ya Israel Ni Hamas Na Siyo Hzbullah Weledi Wa Mambo Wanasema
Endapo Israel Itaanzisha Mashambulizi Huko Lebanon,huenda Wakapigwa Vibaya Na Hzbullah
Ikumbukwe Kuwa Mwaka 2006 Israel Ilianzisha Mashambulizi Dhidi Ya Hzbullah Vita Vilovyodumu Kwa Siku 22 Ambapo Hzbullah Ilipata Ushindi Mkubwa Na Kuifanya Israel Kupata Kipigo Aibu Na Fedheha Hadi Baadhi Ya Viongozi Wa Israel Kujiuzulu
soma mamb uelewe
Mnaodai source ya habari hii hapa
Hizbullah yapongezwa kwa oparesheni dhidi ya Wazayuni
Source Iran radio huo ni UHARO wa BATA.
Unataka source kutoka wapi? Israel ishaingia kwenye Mtego.
source iran radio huo ni uharo wa bata.
kwani source ulitaka iwe radio israel ama
baada ya israel kuwaua wanamapambano wa lebanon sita sasa hzbullah wamejibu kipigo na kushambulia wanajeshi wa israel
Wanajeshi 18 wa israel wameangamizwa na hzbullah huku israel ikidanganya kuwa ni wanajeshi wake wawili tu waliouawa
Hii Imedhirisha Wazi Kuwa Na Jinsi Gani Wanamapambano Wa Hzbullah Wanaweza Kukabiliana Na Israel Bila Uoga
Size Ya Israel Ni Hamas Na Siyo Hzbullah Weledi Wa Mambo Wanasema
Endapo Israel Itaanzisha Mashambulizi Huko Lebanon,huenda Wakapigwa Vibaya Na Hzbullah
Ikumbukwe Kuwa Mwaka 2006 Israel Ilianzisha Mashambulizi Dhidi Ya Hzbullah Vita Vilovyodumu Kwa Siku 22 Ambapo Hzbullah Ilipata Ushindi Mkubwa Na Kuifanya Israel Kupata Kipigo Aibu Na Fedheha Hadi Baadhi Ya Viongozi Wa Israel Kujiuzulu
Source Iran radio huo ni UHARO wa BATA.
Ila ulitaka source iwe CNN au Fox News ambao ni Israel hao hao? Wenzako wanakula kipondo huko! Hezbollah siyo Hamas ambao utawaonea utakavyo. Wao wakikuambia watalipiza visasi wanamaanisha wanachokisema!
Kalaga baho!!!ushindi haupatikani mezani unapatikana kwenye uwanja wa vita,kwa upande wa source ya habari tunachotaka ni Known source si mtu yuko kijiweni anatunga vitu harafu anatusadikishia hapa.
baada ya israel kuwaua wanamapambano wa lebanon sita sasa hzbullah wamejibu kipigo na kushambulia wanajeshi wa israel
Wanajeshi 18 wa israel wameangamizwa na hzbullah huku israel ikidanganya kuwa ni wanajeshi wake wawili tu waliouawa
Hii Imedhirisha Wazi Kuwa Na Jinsi Gani Wanamapambano Wa Hzbullah Wanaweza Kukabiliana Na Israel Bila Uoga
Size Ya Israel Ni Hamas Na Siyo Hzbullah Weledi Wa Mambo Wanasema
Endapo Israel Itaanzisha Mashambulizi Huko Lebanon,huenda Wakapigwa Vibaya Na Hzbullah
Ikumbukwe Kuwa Mwaka 2006 Israel Ilianzisha Mashambulizi Dhidi Ya Hzbullah Vita Vilovyodumu Kwa Siku 22 Ambapo Hzbullah Ilipata Ushindi Mkubwa Na Kuifanya Israel Kupata Kipigo Aibu Na Fedheha Hadi Baadhi Ya Viongozi Wa Israel Kujiuzulu