kibunange
Senior Member
- Feb 18, 2015
- 165
- 148
Kuna msichana ninezinguana nako kam 1 week ago.Alichofanya kachukua namba yangu ya simu kaandika bango na kabandika kwenye mti eti "MGANGA WA KIENYEJI TOKA NIGERIA."
Sasa napata simunyingi za kipumbavu every second jamani, wengine wananiongelesha kingereza cha kulazmisha cha kibongo ze ze nyingi.
Natamani kutupa line
��������
Sasa napata simunyingi za kipumbavu every second jamani, wengine wananiongelesha kingereza cha kulazmisha cha kibongo ze ze nyingi.
Natamani kutupa line
��������