Yamenikuta๐Ÿ˜Œ

Yamenikuta๐Ÿ˜Œ

๐—ฌ๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜‚๐—บ๐—ฒ ๐—บ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐—ท๐—ถ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐—บ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐˜„๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ
 
mtoto wa 2000 anapima ubongo wako na kwa kua ushaonesha udhaifu akija round two kaz unayo lazima upigwe ko
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ulijua choo cha kukaa ety.....
Hapa tuna chuchumaa tuu kama jeshini
Jeshi gani hilo mnachuchumaa, majeshi ya siku hizi rojorojo sana.

Enzi zetu unakata gogo huku unakimbia maana muda wa kuchuchumaa hamna.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom