Mkuu mbona umetoa avatar picha ya German shepherd tuliyoizoea? Irudishe asee.Alipata kusemaje kipenzi chetu kwenye suala zima la kulipa kisasi ?
At this time bado mangapi?!Niko zangu tu hapa nikitetemeka balaa. Hule mkwara kaka yake Polex2 aliouchimba asubuhi mwamba hatanii yuko serious ukizingatia ni kanali, yuko jeshi la NATO anabusu hadi mamba tumekwisha.
Imebakia masaa 17 tu.
Wanaomshikilia Polepole si wamwache tu wampeleke Segerea kwa mama yake akiwa huru? Hii itasaidia sana kuleta sitomfaham.
Am telling you the truth wasipofanya hivyo hell will break loose na hata sisi ambao hatuhusikii tutadhurika na kuhathirika.
MODS please help us am fakingscared!
View attachment 3508325View attachment 3508326
adriz de mbusii
SidhaniHili lipo siriazi kumbe!
Nimemuuza ili niiongezee hela ya nauli kaka .Mkuu mbona umetoa avatar picha ya German shepherd tuliyoizoea? Irudishe asee.
Issue iliyopo mbele yake sio nyepesi kama watu wanavyochukulia humu ndani. Ni jambo linahohitaji taarifa nyingi nyeti na za kina sio kukurupuka na ndio maana pia kwake inachukua mda, akisema akimbie kimbie yeye mwenyewe watamla kichwa mapema tu.. Watanzania wengi wazito kufikiri kwa kina, ni watu wa emotion sana ndio maana tunapigwa sanaaSidhani
ongeza na takbiiiiiiriAmiin
😄yani huyu,, sa red wa nini nyau wew🤣
HahahahahaaaaaNimemuuza ili niiongezee hela ya nauli kaka .
CDF Mkunda.. akifokewa na IGP C WamburaToka niwaone wanajeshi wakifokewa na polisi siku ya maandamano,nimekuwa siwaamini kabisa.Huyu kaka wa polepole anapiga mkwala tu wa wanajeshi lakini kitendo ni sifuri
Huku town askari na wanajeshi wamemwaga wengi sanaHahahahahaaaaa
Toto tundu lamba peremende taratibu.Nimepitwa na wakati.
Naludia tena kukulaani kwa laana zote ziwapasazo kupewa mbogamboga.Toto tundu lamba peremende taratibu.