Yaliyonisikitisha kutoka kwa Ole Sendeka

Yaliyonisikitisha kutoka kwa Ole Sendeka

Kanuniya68

Senior Member
Joined
May 26, 2013
Posts
157
Reaction score
44
Nimemsikiliza kwa makini ndugu ole sendeka akizungumza bungeni,lakini napenda nitamke wazi huyu jamaa ni mnafiki. Anadai kuna chama kinawagawa watanzania,kwa kufanya vurugu arusha. Eti anadai jana aliona watu wakisema pipoz barabarani arusha! Kwa madai wake ,eti kunawanasiasa uchwara arusha wanawagawa watanzania na kuhamasisha vurugu! Ajabu,hajaonyesha masikitiko yake juu ya mlipuko wa bomu,hajasisitiza waliofanya uhalifu huo wakamatwe,wala hajatoa pole kwa wafiwa,na chadema kwa ujumla! Ame2mia muda mwingi kukituhumu chama ambacho hajakitaja eti ndio chanzo cha vurugu! Huu ni unafiki, hivi wanäarusha kuipenda chadema ni makosa? Wanaarusha kutoiunga mkono CCM Maanayake wamegawanywa? Haikubaliki na ashindwe
 
....huyu akili yake nadhani imeathiriwa na sumu zinazotokana na kiwanda cha minjingu !! Jimboni yupo hoi akipita nasikia hata mifugo inakimbia !
 
Amalizie posho zilizobaki arudi kuchunga ng'ombe kitambi chote kitaisha kile....mlamba miguu wa magamba mkubwa!!!
 
Huyu nadhani anahofu ya kuchomolewa katika ubunge wake.

Hofu inamfanya Sendeka akose hekima wala soni kwa kusema kisichokuwepo na kisichotahili.

Kwa kujifanya hajuwi ukweli na kuropoka kisichostahili anajifedhehesha mbele ya warusha na watanzania kwa ujumla.
 
Alijaribu kumtumia Nyerere kupotosha, anahofia jimbo lake 2015
 
sendeka ishik tiatuo esiamu o ndasati! Neng'iri ndasati nirar inye engwenia nijo erovil = utajambaje katikati ya kusanyiko la kina mama! Na kina mama wanakauka wewe unacheka na kusema ni manukato
 
sendeka ishik tiatuo esiamu o ndasati! Neng'iri ndasati nirar inye engwenia nijo erovil= utajambaje katikati ya kusanyiko la kina mama! Na kina mama wanakauka wewe unacheka na kusema ni manukato

Mawazo yako yanarandana na picha (avatar) yako.
 
hana mashiko tena huyu , sidhani kama kuna mtanzania anaweza kumsikiliza huyu ndumilakuwili na mnafiki wa siasa hapa tanzania.
zama zake zimeshaisha , akapumzike na kulea kitambi chake tu.
 
Huyo mtu ni Kubwa Jinga.
Anaongea akihema utadhani anafukuza kondoo!

Anasema kuwa kuna mwandishi mahiri sn wa Chnl 10 huku Arusha ambaye walikuwa sambamba na yeye kwenye msafara, na alichukua vizuri sa matukio yote yanayoonyesha jinsi baadhi ya vyama vinavyotumia propaganda za vurugu kujiletea umaarufu.
 
Watu kama Sendeka lazima wawepo duniani. Yaani watu wenye akili hawatajulikana kama hakuna wajinga
 
Anadhani anajijenga kumbe anajitumbukiza shimoni! Anajaribu kuwa mtetezi wa chama ili akumbukwe..
 
Mzee mgonjwa yule anasubili ku RIP Muda wowote likilipuka guruneti lililomo tumboni mwake.Msameheni bure huyo hajui alitendalo.
 
Hofu ya wabunge wa ccm ni hawa hapa
 

Attachments

  • Chademaaaaaaaaa.jpg
    Chademaaaaaaaaa.jpg
    50.6 KB · Views: 95
  • Chademo.jpg
    Chademo.jpg
    36.8 KB · Views: 64
Ole Sendeka in mbunge pekee hapa Tanzania ambaye jimboni kwake ndiko yanapopatikana madini ya Tanzanite. Madini ya Tanzanite dunia nzima hakuna isipokua Simanjiro kwa mheshimiwa Sendeka. Simanjiro ndo wilaya maskini hapa Tanzania. Aache kufikiri kwa kutumia Tumbo ili awakomboe wananchi wa Orkesumet, Landanai, Robosoit, Emboreet nk
 
Back
Top Bottom