NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,313
Nikiwa naendesha kariakoo kaja mwanaume wa makamo hivi namuona makusudi anajigongesha kwenye kioo cha gari cha pembeni.
Mie nikasimama mara anadai nimpeleke hospital kaumia nikamwambia umeumia wapi na gari haikuwa kasi sanasana umegusa kioo .
Kashupaa nimpeleke hospital au nimpe pesa akatibiwe.
Nikampa 10,000.00 ili yaishe bwana wee nimeenda kupaki nazunguka kariakoo na kutana naye anadunda swafi kabisa!
Jamani hali ya uchumi hii itatupeleka pabaya mtu mzima kama yeye nimesikitika sana.
so ukiwa kariakoo uwe mwangalifu sana.
Watu wanabuni njia mbalimbali za kujipatia pesa kiurahisi.
Mie nikasimama mara anadai nimpeleke hospital kaumia nikamwambia umeumia wapi na gari haikuwa kasi sanasana umegusa kioo .
Kashupaa nimpeleke hospital au nimpe pesa akatibiwe.
Nikampa 10,000.00 ili yaishe bwana wee nimeenda kupaki nazunguka kariakoo na kutana naye anadunda swafi kabisa!
Jamani hali ya uchumi hii itatupeleka pabaya mtu mzima kama yeye nimesikitika sana.
so ukiwa kariakoo uwe mwangalifu sana.
Watu wanabuni njia mbalimbali za kujipatia pesa kiurahisi.