Yaliyonikuta 2021

Pambana kaka uhishi na wazamani uyo ndio nyota yako.
 
lengo langu lilikua kufanya maisha na sio starehe
Sio kweli.... Na ndio maana unajutia fursa ya mapesa ya dezo dezo..... Mwanamke wa zamani Ana upeo ila pesa Hana.... Sasa hapo kichwa naona kinakuuma, mpya kasepa.

Tafuta pesa kijana. Acha kupenda vya DEZO.
 

Tatizo lako uvivu Na kupenda kulelewa, chukua wazaman, Lea, nenda kafanye vibarua Kwenye majaruba
 
capital inakwama mkuu
Sasa huwezi lalama kuwa umeachwa na mwanamke kisa ya hela zake. Wewe ulipenda hela zake na hilo alitambua nashangaa unalalamika nini, hayo mawazo si bado unayo basi yatumie.

Nina ex wangu aliwahi mlalamikia ex wake kuwa alimshauri kuhusu biashara alafu huyo man baada ya kupata akamuacha. Mi nilimwambia kama unaona mawazo yako yalimfanya atoboe, kwanini nawe usitekeleze ushauri uliompa ukawa na hela kama yeye. Hapo tulizua ugomvi

Hapa unalilia capital wala sio mawazo sijui mapenzi
 
Yote yamepita mzee, kilichopo muoe huyu wa dini na akili za maisha.....

Chondechonde usiwaze wala kumpigia yule mwenye hela eti mrudiane...... Atakupiga na kitu kizito kichwani
 
Mwanaume unapenda mteremko na mserereko wewe.... Yaani unasisitiza kuwa mipango yako mingi haijatimia kutokana na ahadi hewa na starehe za mwanamke mpya.....

Sasa mbona hukumchuna kwa akili?? Haki nacheka Kama mazuri vile
??
 
shos umejua kukomesha lol
 
Sio kweli.... Na ndio maana unajutia fursa ya mapesa ya dezo dezo..... Mwanamke wa zamani Ana upeo ila pesa Hana.... Sasa hapo kichwa naona kinakuuma, mpya kasepa.

Tafuta pesa kijana. Acha kupenda vya DEZO.
 
Yote yamepita mzee, kilichopo muoe huyu wa dini na akili za maisha.....

Chondechonde usiwaze wala kumpigia yule mwenye hela eti mrudiane...... Atakupiga na kitu kizito kichwani
 
Marioo ktk ubora wake,

Tafuta pesa kijana wee.
 
Mkifunga shule mnakuwa hamna kazi za kufanya? Homework umemaliza? Leo huendi tuition? nakushauri ungechukua jembe upalilie majani hapo kwenu
 
Wewe ni mjinga na mpumbavu wote tuseme "AMEN"

Kwanza huna sifa ya kuwa baba maana bado una uvulana mwingi, unapenda mtelemko, na huna future yeyote zaid ya kuwaza starehe
future ipo kiunoni mwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…