Yaliyomo Yamo[emoji41][emoji41]

Yaliyomo Yamo[emoji41][emoji41]

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,276
Shanga cheni vikuku urembo wa kike unaoleta msisimko na mvuto zaidi anapokuwa na mume wake

kiuno cha mwanamke akitakiwi kuwa plane kama cha mwanaume, Kinatakiwa kunakishiwa na shanga huwa zina maana nyingi kutokana na rangi zake unaweza kujuwa hali ya mke wako bila yeye kukuambia akakuonyesha ushanga mwekundu ukajuwa hapa simba na pamba wanacheza[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mvaage tu nyie hayo madude kwakweli.
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Shanga cheni vikuku urembo wa kike unaoleta msisimko na mvuto zaidi anapokuwa na mume wake

kiuno cha mwanamke akitakiwi kuwa plane kama cha mwanaume, Kinatakiwa kunakishiwa na shanga huwa zina maana nyingi kutokana na rangi zake unaweza kujuwa hali ya mke wako bila yeye kukuambia akakuonyesha ushanga mwekundu ukajuwa hapa simba na pamba wanacheza[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi ww ni wa pwani au kusini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndio urembo halisi wa mwanamke wa kiafrika...Mungu awape maisha marefu wavaaji
 
Zinaongezaje yani?

Na sisi tusio na viuno yaani pasi yaani mgongo na kalio vimelingana shanga zinakaa wapi? Acheni kututesa.
 
napenda shanga ya sliver ama gold, iwe moja tu kiunoni na si zile shanga zinakuwa mingi kama kamba ya kokolo kiunoni.. me hamnaga kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu.

Shanga ni kiungo muhimu sana katika kumuandaa mke.

Zile gologi za shanga zinamsisimua mke kama unyoya unavyosisimua mwili ukiingizwa sikioni.

Siku moja tafuta massage oil alafu mmwagie mkeo mpake mwilini then zikusanyebshanga zako anza kufanya kama unammassage kwa kugandamiza hizo shanga katika ngozi yake.

Alafu ukifika katika ukewe wake sasa chezesha shanga hapo kwa madoido na kuzipekecha pekecha juu yake huku ikiwa naniliu umeilowesha mafuta na yale maji ya asili.pekechaaaa uone..
 
Alafu ukifika katika ukewe wake sasa chezesha shanga hapo kwa madoido na kuzipekecha pekecha juu yake huku ikiwa naniliu umeilowesha mafuta na yale maji ya asili.pekechaaaa uone..

Unapekecha kama wimbombo na ulindi?

[emoji2398]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom