Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,232
- 8,780
Hahaha safi sana
Mugabe wa Bongo AkA Mbowe Chaliiiiiiiii
CCM endeleeni kulitibua Tanganyika , ZANZIBAR TUPATE KUTOKA KWENYE UVAMIZI WA TANGANYIKA. BYE BYE UVAMIZI
Hahaha safi sana
Mugabe wa Bongo AkA Mbowe Chaliiiiiiiii
Hahahaaaaa mna aibu ila mnajikaza tuu hongeren lakin kwa kushinda kata zote 43 maana kama ni mbeleko tu hakika imewabewa kwa uwazi kabisa , lakin ndio maana idadi kuwa ya wana chadema hawajapiga kura kwa sababu wamejazwa vituo vya polisi hadi wanamwagika hahaaaaaaaaa!! Watu wanalazimisha upendo.Mlilijua mapema kama polisi ndio tume mbona hamkususa!
uajitekenya bunduki ndo zillipiga kura.Lema bado mfalme wa ARKwa matokeo ya uchaguzi wa awali Kata ya Muriet jimbo la Arusha mjini mpaka sasa CCM inaongoza kwa 73.6 %.
Hii ni message tosha kwa wananchi wa jiji la Arusha kuwa Godless Lema hatakiwi . wananchi wameridhishwa na utendaji wa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.
Lema tafuta kazi nyingine ya kufanya.
Ngoja tuone hao washindi wataishi wapi, nazihurumia familia zao tu.. Kibitilization.na mahakama ni yao pia.
Tumieni nguvu ya umma sasaHaya bhana, lakn wenye macho tumeona, mnajinasibu kwamb mnapendwa wakat huohuo mmejaza polic na vurugu za ktosha
Lumumba Mugabe na Grace ni wa kwenu hukoHahaha safi sana
Mugabe wa Bongo AkA Mbowe Chaliiiiiiiii
Mugabe anaita wenzake wavulana kwa kumkimbia yeye kashindwa hata kupokea matokeo huo ni zaidi ya ubinti.Hahaha hakuna hata kura ya Mugabe
Hapa ni fundishoDuuuh.... machagema hali mbaya
Una taarifa kuanzia mugabe ashike chama 2003 mpaka leo hataki kuachia uenyekiti?Lumumba Mugabe na Grace ni wa kwenu huko
Hawa wakuhurumia labisaMugabe anaita wenzake wavulana kwa kumkimbia yeye kashindwa hata kupokea matokeo huo ni zaidi ya ubinti.
hama nchi mkuu; Ila Muungano upo na utadumu.watanganyika piganeni mtuachie nchi yetu Zanzibar, CHECHE ZINAANZISHWA NA CCM , HEKO CCM BYE BYE UVAMIZI UITWAO MUUNGANO
Hata moja hawapatiUko wap,nielekeze nije tuandikishane kabisa polisi maana saivi npo nanoa panga langu!
Hao walioshinda labda wakaishi Ikulu*BREAKING NEWS*
UHT, Arusha Tanzania
26/11/2017
*Matokeo ya Wali, Kata ya Muriet*
Matokeo
VETA kituo number 2
ccm 50
Cdm 15
Kituo born city number 2
Ccm 127
Cdm 62
Born city number 4
CCM 90
Cdm 50