Hawa ccm usalama wa taifa wanafundishwa mbinu za medani za karne iliyopita yaani za enzi za mwalimu wakati sasa tupo karne na kikwi (millenium) mpya. Nawashauri ccm wafanye utaratibu wa kureview syllabus ya usalama wa taifa iendane na wakati. Kizazi hiki hakitishiwi nyau. Ndo maana baadhi ya weledi wanahoji mfumo uliopo wa kuteua viongozi na kuwapa mamlaka ya kuongoza wananchi kama hawa marc, madc na divisional officers integral party yao nini katika mustakhabali wa maendeleo ya taifa kama siyo kuzima potential ideas kutoka kwa jamii. Hivi watu wana mawazo ya kuongoza watu kama ya wakai ule ambapo population ilikuwa na watu 8,500,000 ambao asilimia 90 walikuwa hawajuio kusoma wala kuandika. Leo watu wako 45,000,000 na kati yao hao zaidi ya mililion 30 wanjua kusoma na kuandika na kati ya hao milioni kama 3 wana elimu ya chuo kikuu. Bea careful maccm na magamba muache kuchokoza nyuki wakiwa kwenye mizinga ya nyuki