Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

Tumaini Makene

JF-Expert Member
Jan 6, 2012
2,642
6,071
Utakuwa mkutano mkubwa wa aina yake kuwahi kufanyika kwa siku za hivi karibuni katika shughuli za kisiasa nchini.

Mkutano huo utakaofanyika Jumatano, Julai 22, 2015 kuanzia majira ya saa 8 mchana utahudhuriwa na Viongozi wakuu wa Chama wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Freeman Mbowe, Katibu Mkuu Dk. Slaa, Makamu Mwenyekiti Bara Prof. Abdallah Safari.

Viongozi wengine waandamizi watakaokuwepo ni; NKMZ John Mnyika, NKMZ Salum Mwalimu, Mjumbe wa KK Prof. Baregu, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Arcado Ntagazwa na Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa Halima Mdee, ambao wote watahutubia taifa kutokea Uwanja wa Magomeni jijini Mwanza.

Waliokuwa wabunge wa CCM, wapiganaji Mzee James Lembeli na Easter Bulaya watakuwepo Uwanja wa Magomeni. Tusimalize utamu hapa kuhusu watakachosema.

Mkutano utatangazwa live kwa masaa 3 kupitia ITV na Radio One.

Wakati Watanzania wengine watapata fursa ya kufuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia tv na radio, wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa watawakilisha kwa kufika kwa wingi uwanjani hapo kusikia hotuba zitakazotoa mwelekeo wa taifa hasa tunapoelekea kwenye Uchaguzi mkuu.

Wametangulia na kufuli, tutakuja na ufunguo.

Makene


Updates...

Maandamano ni makubwa mno. Haijawahi kutokea. Kutokea Uwanja wa Ndege wa Mwanza kuelekea mjini ambapo ni mwendo kama wa dakika 10 hivi hadi sasa msafara umetumia masaa mawili na bado haujafika mjini.

Mji mzima unanukia CHADEMA, Kanda ya Ziwa at its peak for changes.

Clear signs of quest for changes for the better future under safe hands of the committed and responsible leaders.

Tutaanza kuwawekea picha punde. Hapa hapa

 

Attachments

  • cdm44.jpg
    30.2 KB · Views: 59,097
  • 11742792_827735914001092_5783795608006879730_n.jpg
    63.8 KB · Views: 59,498
  • 11754279_382774181915186_2019913800618807110_n.jpg
    35.4 KB · Views: 66,747
  • slaa13.jpg
    32.8 KB · Views: 54,094
  • slaa14.jpg
    50.6 KB · Views: 52,356
  • mz1.jpg
    47.9 KB · Views: 48,562
  • mwanza1.jpg
    48.9 KB · Views: 53,972
  • mwanz2.jpg
    22.9 KB · Views: 49,800
  • d1.jpg
    39.1 KB · Views: 9,615
Kesho kuanzia saa nane mchana, Tunaenda kuandika historia mpya pale Mwanza, vile vile kwa wale ambao mpo mbali na Mwanza mtatupata moja kwa moja kupitia ITV na Star TV. Ni historia inaenda kuandikwa.

CHADEMA/UKAWA ndiyo tumaini la Watanzania.

Usikose kesho, Mwanza itasimama.

SAFARI YA UHAKIKA
 
Kibo10
Hebu tuelezee maana unaturusha roho halafu hujaeleza nani na nani watasimamisha jiji la akimwanamayo na wanampala.
 
gongo mbaya sana. Aliselema.....alija ndo mambo gani? Niko simiyu huku hatutaki kumsikia huyo magufuli.

umezaliwa jana ndo maana haujua alija,wewe unazani ndo sera zake kawaulize wabunge wako anavyowafurumanisha bunge na kukaa kimia subili haje uone,
 
Lile fisadi lenu ndiyo mnaenda kulitangaza kugombea.

Nimecheka...te te.te..Ndani ya CCM Hakuna Msafi Kwa Maana angalia Pinda, Maiga, Bilal,..Wote Kamati ya Maadili iliwakuta na Makosa ya

Kimaadili....So bado wapo CCM na ni Mifisadi.

Eddo Ameachana na Mafisadi na Kwa Sasa ni Mtu Safi...Kwa Mkristo akishatubu basi ni mtu safi na yakale Hayahesabiki tena.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…