Yaliyojiri kwenye hafla ya Jokate maarufu "TOKOMEZA ZERO"..Paul Makonda alikoroga tena...

kasenene

JF-Expert Member
Jun 6, 2008
1,632
2,413
Kichwa cha habari chahusika...Hafla hiyo iliyofana "off course" tunaelewa nani aliyeandaa kila kitu kwa vyoyote vile isingeacha kufana tena shughuli ya "Dada wa Taifa"..Hata hivyo kilichotuacha midomo wazii wauzuriaji wa tukio la jana ni pale "Bashite" alipopewa nafasi ya kuongea na kuanza kulaumu tabia ya kuwatumia watu wenye kufanya matendo aliyoyaita "yasiyokuwa ya maadili mema kwenye jamii" katika shuguli mbali mbali za kitaifa, uongozi au hafla mbali mbali nchini .Alienda mbali mpaka kutoa mfano wa mmoja wa waalikwa aliyekuwepo jana ukumbini na aliyejipatia umaarufu mkubwa hivi karibuni kwa kuigiza ulevi al maarufu "Pierre Liquid". Sasa ni kwanini watu tulibaki midomo wazi. pengine ni haya maswali yaliyokuwa yanasumbua "Oblangata zetu" mara baada ya kusikia kauli yake.

1. Muandaaji wa tukio lenyewe mpaka anapewa ukuu wa Wilaya alikuwa anaonekanaje kwenye jamii?
2. Wema Sepenga (mtumia unga na changu maarufu wa Taifa) kutumiwa kwenye kamati mbali mbali za Bashite ikiwemo ya juzi ya kuhamasisha watu wauzurie mechi ya Taifa Stars alienda kuhamasisha nini?
3. Bashite kumsifia Diamond kwa tabia zake za kubadilisha mabinti kama boxer na kuendelea kutoa nyimbo za matusi lengo lake ni nini? kama kweli anachukizwa na watu wasiokuwa maadili mema
4. Vijana wa leo wakajifunze nini kwa rafiki zake wa karibu akina" Lemutuz,Steve nyerere,T.I.D???
5. KIONGOZI gani aliyewahi kutoa ahadi ya kulewesha watu kama zawadi kwa furaha ya tukio lolote lenye tija hapa nchini?........

"Any way" labda ndo maana hata hafla yenyewe ilikuwa ni ya kutokomeza " Bashite" na iliandaliwe na " Mabashite" wenyewe na pengine ndio mwanzo wa kutokomezana.

 
Ungetulia na kuacha chuki, hisia na mihemuko, ungeandika jambo lenye tija kwa wasomaji. Lakini umekurupuka na kukosa umakini hivyo kuonekana mtupu kichwani
Kichwa cha habari chahusika...Hafla hiyo iliyofana "off course" tunaelewa nani aliyeandaa kila kitu kwa vyoyote vile isingeacha kufana tena shughuli ya "Dada wa Taifa"..Hata hivyo kilichotuacha midomo wazii wauzuriaji jana ni pale "Bashite" alipopewa nafasi ya kuongea na kuanza kulaumu tabia kuwatumia watu wenye kufanya matendo wanayaita yasiyokuwa ya maadili mema kwenye jamii katika shuguli mbali mbali za kitaifa, uongozi,hafla,uhamasishaji wa jambo lolote kwa lengo la kuleta uhamasishaji wa tukio hilo.Alienda mbali mpaka kutoa mfano wa mmoja wa waalikwa aliyekuwepo jana ukumbini na aliyejipatia umaarufu mkubwa hivi karibuni kwa kuigiza ulevi al maarufu "Pierre". Sasa ni kwanini watu tulibaki midomo wazi. pengine ni haya maswali yaliyokuwa yanasumbua "Oblangata zetu" mara baada ya kusikia kauli yake.

1. Muandaaji wa tukio lenyewe mpaka anapewa ukuu wa Wilaya alikuwa anaonekanaje kwenye jamii? 2. Wema Sepenga (mtumia unga na changu maarufu wa Taifa) kutumiwa kwenye kamati mbali mbali za Bashite ikiwemo ya juzi ya kuhamasisha watu waudhurie mechi ya Taifa Stars alienda kuhamasisha nini?
3. Bashite kumsifia Diamond kwa tabia zake za kubadilisha mabinti kama boxer na kuendelea kutoa nyimbo za matusi lengo lake ni nini? kama kweli anachukizwa na watu wasiokuwa maadili mema 4.Vijana wa leo wakajifunze nini kwa rafiki zake wa karibu akina" Lemutuz,Steve nyerere,T.I.D??? 5. KIONGOZI gani aliyewahi kutoa ahadi ya kulewesha watu kama zawadi kwa furaha ya tukio lolote lenye tija hapa nchini?........ "Any way" labda ndo maana hata hafla yenyewe ilikuwa ni ya kutokomeza " Bashite" na iliandaliwe na " Mabashite" wenyewe na pengine ndio mwanzo wa kutokomezana.
 
Bashite ni mtu ambae hana akili.

With Age comes wisdom and experience but sometimes age comes alone, Bashite has exbihited this.

Bashite yeye anazeeka na upumbavu, busara hakuna, elimu hakuna inakua tabu tupu.

Gwajima aliwahi kuonya kua kwa Bashite tumefeli na ni kweli tumefeli.
 
Siyo Ustaarabu kumuharibia mtu ambaye tayari ameshaaminiwa mpk kupewa Uambasada wa Kampuni mbali mbali et kwa kisingizio tu kuwa ni mlevi na hana maadili, Je wewe unayemnyooshea kidole una maadili? Je ni watu wangapi walio aminiwa na kupewa fursa mbali mbali kama za kiuongozi lkn kwenye maadili wanapuyanga vibaya sana? Je Ni haki au ni Maadili kutoa Ofa ya Kushusha gharama ya Pombe ili watu walewe vizuri baada ya Ushindi wa timu ya taifa???

USHAURI
Kila mtu ana aina au staili yake ya kutoka kimaisha ambayo hyo style ndo itamfanya ajulikane na akishapata kick basi ndo mwanzo wa yeye kuingiza kipato
Sasa,
Unapompondea mbele ya kadamnasi unamuharibia mpk shughuli zake za kumletea kipato. It isn't Fair play
Kwani Kuna Mawaziri wangapi ni Walevi? Wakuu wa Mikoa wangapi ni Walevi, Wakuu wa wilaya na Officials kibao???

#Ubashite mtupu Upstairs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa cha habari chahusika...Hafla hiyo iliyofana "off course" tunaelewa nani aliyeandaa kila kitu kwa vyoyote vile isingeacha kufana tena shughuli ya "Dada wa Taifa"..Hata hivyo kilichotuacha midomo wazii wauzuriaji jana ni pale "Bashite" alipopewa nafasi ya kuongea na kuanza kulaumu tabia kuwatumia watu wenye kufanya matendo wanayaita yasiyokuwa ya maadili mema kwenye jamii katika shuguli mbali mbali za kitaifa, uongozi,hafla,uhamasishaji wa jambo lolote kwa lengo la kuleta uhamasishaji wa tukio hilo.Alienda mbali mpaka kutoa mfano wa mmoja wa waalikwa aliyekuwepo jana ukumbini na aliyejipatia umaarufu mkubwa hivi karibuni kwa kuigiza ulevi al maarufu "Pierre". Sasa ni kwanini watu tulibaki midomo wazi. pengine ni haya maswali yaliyokuwa yanasumbua "Oblangata zetu" mara baada ya kusikia kauli yake.
1. Muandaaji wa tukio lenyewe mpaka anapewa ukuu wa Wilaya alikuwa anaonekanaje kwenye jamii? 2. Wema Sepenga (mtumia unga na changu maarufu wa Taifa) kutumiwa kwenye kamati mbali mbali za Bashite ikiwemo ya juzi ya kuhamasisha watu waudhurie mechi ya Taifa Stars alienda kuhamasisha nini?
3. Bashite kumsifia Diamond kwa tabia zake za kubadilisha mabinti kama boxer na kuendelea kutoa nyimbo za matusi lengo lake ni nini? kama kweli anachukizwa na watu wasiokuwa maadili mema 4.Vijana wa leo wakajifunze nini kwa rafiki zake wa karibu akina" Lemutuz,Steve nyerere,T.I.D??? 5. KIONGOZI gani aliyewahi kutoa ahadi ya kulewesha watu kama zawadi kwa furaha ya tukio lolote lenye tija hapa nchini?........ "Any way" labda ndo maana hata hafla yenyewe ilikuwa ni ya kutokomeza " Bashite" na iliandaliwe na " Mabashite" wenyewe na pengine ndio mwanzo wa kutokomezana.
WAHUDHURIE - wauzurie!
 
Unaweza kukuta tayari pierre alikua na watu nyuma yake anawasaidia kama wazazi wake au hata wadogo zake kwa kipato alichoanza kupata!Anyways,Mungu uponye moyo wa pierre as hakika atakua amejeruhiwa vibaya mno kwa kuwa embarrased mbele za watu wote kiasi kile
 
Huyu kweli bashite.

Ningekua mimi ndio Liquid ningesimama na kuondoka zangu.

Halafu cha ajabu kuna mazwazwa yanampigia makofi, kweli hiyo hafla ilikua ya mabashite watupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dc jokate.jpg
 
Kiongozi wa Klabu ya Simba atoa milioni 10 ktk kampeni ya tokomeza ziro Kisarawe.Aahidi kutoa milioni 10 nyingine iwapo DC wa Kisarawe , mh.Jokate ataenda kuangalia mechi ya Simba na TP Mazembe huku akimsihi avae jezi nyekundu.

WAPO Radio
 
Back
Top Bottom