Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Bora hao kuliko hizi sauti za mwisho tunazozisikia leo.Mpaka leo hii bado najiuliza maswali na sipati majibu, akili za wenzetu waliokuwa wanamnadi fisadi lowasa kupitia chadema zilikuwa wapi?
Yaani kweli kabisa mlitaka Mbowe, tundu na fisadi lowasa ndiyo wawe na sauti ya mwisho hapa Tanzania? Mlitaka kuikabidhi hii nchi kwa mbowe, lowasa&Co.? Nafikiri ubongo wenu utakuwa unashambuliwa na vijidudu na nina washauri mkafanye head CT Scanning!