Yaliyojiri Ikulu: Mazungumzo kati ya Viongozi wa dini nchini na Rais Magufuli

Mkuu sasa kama hujawahi kusikia dhehebu lake/analoliongoza haina maana halipo!
Ana dhehebu na ni mchungaji!
Uliza watu wa Iringa ndo wanajua!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kuodherasha madhila na matatizo mbali mbali ambayo waumini dini mbali mbali wanayo ?
Hebu yataje........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...kwa mfano ujasiri gani walikosa !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
next time hata Mwingira hatoalikwa, anataka wanaomsifia tu.
Alilalamikia wachungaji wake kuwekwa ndani mara kwa mara na maDC. Mwingira ana tuhuma za kupora ardhi wa wanakijiji na kuhodhi eneo kubwa sana. Ameweka askari/walinzi ambao mara kwa mara hujichukulia sheria mkononi.
Yupo Askofu kwenye kikao hicho hicho ana amini kuna Wachungaji/viongozi wa dini wanastahiki kuwekwa ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wafundisheni watu kumjua mungu ,kuacha dhambi, kuheshimu mamlaka na mamlaka kuheshimu waajiri wao (wananchi) bila kichola.
Huko kwenye nyumba zenu za ibada mjue kunawafuasi wasimba pamoja na Yanga na wengine wapita njia tu hawana upande wowote.

Viongozi wetu wa dini tunaomba sana mseme mapungufu ya wanasiasa kwa usawa bila kuigopa au kupendelea.

Msithubutu kuvaa jezi ya upande wowote wkt mnachezesha mechi ngumu kabisa ya Yanga na Simba bakini Neutral kwa maslahi mapana ya taifa letu

Dini zinamchango mkubwa sana katika kuleta amani au vurugu ktk taifa.

Mtuache na AMANI YETU
Mungu awape moyo wa busara watumishi wa mungu mbarikiwe sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…