Van dick
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 223
- 43
Inasikitisha hasa kwa dada zetu,watoto wetu wapendwa wamekwenda kujifunza maisha hata week haijapta Leo napigiwa cm Usiku Huu at kuna askari mmoja anamlazimisha Mdada Mapenz kakataliwa amemuanzishia visa huko kamb ya oljoro Arusha.Nimesikitika sana,JF tufanyeje mm nimemshauri aende kwanza kwa kiongoz wake no response nategemea niwapandie hukohuko nimchomoe my lovly sissy.Mwaka Jana amin msiamin weng wamebakwa...naomba kuwasilisha.