Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu 22 Septemba 2014, Uwasilishaji wa Rasimu ya Tatu ya Katiba Mpya


Kwani wanalazimishwa na nani ukawa kutopiga kura democrasia inampa kila mmoja uhuru wa kuamu.vipi wewe unashabikia udikteta
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi ni mnazi wa JF.
Siwezi kuvumilia kuona watu wanatumia JF ku promote uhuni.
Ni hilo Mkuu na utaniwia radhi

Ukweli unaita unazi na unaziutaita nini mapenzi bila kuangalia ukweli ni upofu wabuge wako makini
 
ccm wanaitakia mema kweli nchi hi?hii itakua ya kwanza kushuhudia mtu akipiga kura akiwa nje ya bunge!

Maendeleo ya hali ya juu nadhani itafungua njia kwa ajili ya uchaguzi mkuu.ikishindikana magwanda msidai kwa nguvu kwani hamkushiriki utaratibu huu
 
Mkuu inadhihirisha ule utafiti unaoonesha kuwa Tz wananchi wake IQ ziko chini. You can imagine hao wabunge kama ndio sample ya watz

Unajitusi mwenyewe kwa hoja hiyo kwani nawe hujoni ni sample ya wasioelewa na kukubali ukweli
 
Tutapataje 2/3 ya kila upande wa Muungano bila kuaandaa mazingira ya kuchakachua-Hongera six hapa hata kura za wajumbe wa Ukawa tutazipata-Si swala la machine tu mwisho wa siku itaonekana namba ya Lissu ndiyo ilipiga kura.Well done six
 
Mtu mwenye hasira kama mie natakiwa kujitoa JF-Unaandika kwa confidence utadhani dunia yote ni yako na wewe ndo unatupa uhai watanzania
 
hakuna nchi rais kuongoza kama Tanzania,yaani serekali hata wafanye ujinga gani siye twashangilia tu..
shikamoo wabongo
 
Hii imetokea leo asubuhi wakati kamati ya kanuni ikiwasilisha mabadiliko juu utaratibu wa upigiaji wa kura ikiwagusa zaidi wajumbe watakaokua nje ya BMK wakati wa upigaji kura wa rasimu ya tatu ya katiba inayopendekezwa. Waliofokewa kutokana na kutokuunga mkono mabadiliko hayo, ni Oulochi, Said Arfi na Masoud Yosuf toka Zanzibar kama kawaida wakichagizwa na vijembe kutoka kwa walio wengi. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
Pesa kweli mwanaharamu haya mnayofanya huku mkijua mnafanya sio ni ujinga kuonyesha ujinga uliokuwa nao ila yatawarudia tuuu mtake msitake ujinga wenu mtauonja tu
 

Ur true colors are shining now!
 
Kuna tatizo gani kama sheria zinaruhusu.
Tatizo lipo mkuu Cybercrime, wanapoteza muda ambao unatafuna posho za walipa kodi..........kwa nini kanuni na sheria zetu zinaflactuate........tunakurupuka ua kuna kitu kinawabana............?
 
Kumbe ndo maana watafiti wanasema watz wana IQ ndogo, hii mi inaniongezea imani ktk huo utafiti
 
hakuna nchi rais kuongoza kama Tanzania,yaani serekali hata wafanye ujinga gani siye twashangilia tu..
shikamoo wabongo

umeonae kaka.kila mtu anaibuka tu nakusema nimetumwa na wananch.eti mpaka akina kigwangala,mwigulu wanataka nch,watz wanadanganyika na ki2 kidogo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…