Yaliyojificha nyuma ya chopa ya Mbowe na anavyowadanganya Watanzania

Maryam Malya

Senior Member
Nov 29, 2021
115
258
Anaandika Dr. Sisimizi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameendelea kuwadanganya wanachama wake kuhusu suala la kutofanya mikutano yao kwa kutumia Chopa akidai kuwa anashughulikia kibali cha kuruka.

Nafikiri sasa umefika wakati wa Freeman Mbowe kuwafumbua macho wanachama wake na kuwaeleza sababu za ukweli zilizopelekea wao kushindwa kufanya mikutano yao na waache kisingizio cha kutafuta kibali cha chopa.

Ukweli ni kwamba ndani ya Chadema kumekua na mgogoro baina ya viongozi wa Kamati hasa suala linalohusu matumizi ya fedha.

Ndani ya Kamati Kuu ya Chadema, kumekua na mgogoro juu ya namna Pesa za chama zinavyotumika bila mpangilio kwa kisingizio cha kukodi chopa ambapo wanaamini gharama zinazotumika kwenye chopa haziendani na uhalisia.

Mbowe amekua akiwaambia wenzake kuwa huwa anakodi chopa hiyo kutoka nchini Kenya, kiasi cha shilingi Milioni 15 kwa siku, lakini safari hii amekodi kwa gharama ya shilingi Milioni 30 kwa siku hali ambayo imezua taharuki na maswali mengi kwenye kamati ya fedha ya chama hicho.

Kwenye ziara waliyoifanya Kanda ya Kati ambapo Chopa peke yake ilitumia zaidi ya Milioni 200 kwa wiki mbili tu, ambapo wapo waliodai gharama hiyo ni kubwa sana.

Baada ya Kamati ya fedha ya Chadema kuhoji kuhusu Chopa kutumia gharama kubwa, wakakubaliana wasitishe kwanza matumizi ya chopa mpaka pale Mwenyekiti wao atakapotoa ufafanuzi juu ya matumizi halisi ya gharama ya Chopa hadi kufikia Milioni 200 kwa siku 14 tu.

Kufuatia kuhojiwa huko na kutakiwa kutoa maelezo kwenye Kamati ya Fedha kwenda Kamati Kuu Freeman Mbowe ameamua kutumiq vibaraka wake akiwemo Salum Mwalimu na John Mrema kuutangazia umma kuwa wanashughulikia vibali vya chopa wakati si kweli, wanasubiri kikao cha kamati kuu ili wawasilishe ufafanuzi wa gharama za matumizi ya chopa.
 
Anaandika Dr. Sisimizi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameendelea kuwadanganya wanachama wake kuhusu suala la kutofanya iri kikao cha kamati kuu ili wawasilishe ufafanuzi wa gharama za matumizi ya chopa.
Kama Mbowe ni muongo, kwa nini hamtafuti kauli yenye uthibitisho kutoka mamlaka inayotoa kibali cha kurusha chopa ili muweze kusema kwa uhakika kwamba hakuna tatizo la kibali, mamlaka imesema hivyo?

Bila uthibitisho huo, hizi habari zitachukuliwa kama fitina na majungu tu.
 
Anaandika Dr. Sisimizi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameendelea kuwadanganya wanachama wake kuhusu suala la kutofanya mikutano yao kwa kutumia Chopa akidai kuwa anashughulikia kibali cha kuruka.

Nafikiri sasa umefika wakati wa Freeman Mbowe kuwafumbua macho wanachama wake na kuwaeleza sababu za ukweli zilizopelekea wao kushindwa kufanya mikutano yao na waache kisingizio cha kutafuta kibali cha chopa.

Ukweli ni kwamba ndani ya Chadema kumekua na mgogoro baina ya viongozi wa Kamati hasa suala linalohusu matumizi ya fedha.

Ndani ya Kamati Kuu ya Chadema, kumekua na mgogoro juu ya namna Pesa za chama zinavyotumika bila mpangilio kwa kisingizio cha kukodi chopa ambapo wanaamini gharama zinazotumika kwenye chopa haziendani na uhalisia.

Mbowe amekua akiwaambia wenzake kuwa huwa anakodi chopa hiyo kutoka nchini Kenya, kiasi cha shilingi Milioni 15 kwa siku, lakini safari hii amekodi kwa gharama ya shilingi Milioni 30 kwa siku hali ambayo imezua taharuki na maswali mengi kwenye kamati ya fedha ya chama hicho.

Kwenye ziara waliyoifanya Kanda ya Kati ambapo Chopa peke yake ilitumia zaidi ya Milioni 200 kwa wiki mbili tu, ambapo wapo waliodai gharama hiyo ni kubwa sana.

Baada ya Kamati ya fedha ya Chadema kuhoji kuhusu Chopa kutumia gharama kubwa, wakakubaliana wasitishe kwanza matumizi ya chopa mpaka pale Mwenyekiti wao atakapotoa ufafanuzi juu ya matumizi halisi ya gharama ya Chopa hadi kufikia Milioni 200 kwa siku 14 tu.

Kufuatia kuhojiwa huko na kutakiwa kutoa maelezo kwenye Kamati ya Fedha kwenda Kamati Kuu Freeman Mbowe ameamua kutumiq vibaraka wake akiwemo Salum Mwalimu na John Mrema kuutangazia umma kuwa wanashughulikia vibali vya chopa wakati si kweli, wanasubiri kikao cha kamati kuu ili wawasilishe ufafanuzi wa gharama za matumizi ya chopa.
Ndo maana Lissu amesema mbowe aache u CCM akubali kukosokewa.
 
Anaandika Dr. Sisimizi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameendelea kuwadanganya wanachama wake kuhusu suala la kutofanya mikutano yao kwa kutumia Chopa akidai kuwa anashughulikia kibali cha kuruka.

Nafikiri sasa umefika wakati wa Freeman Mbowe kuwafumbua macho wanachama wake na kuwaeleza sababu za ukweli zilizopelekea wao kushindwa kufanya mikutano yao na waache kisingizio cha kutafuta kibali cha chopa.

Ukweli ni kwamba ndani ya Chadema kumekua na mgogoro baina ya viongozi wa Kamati hasa suala linalohusu matumizi ya fedha.

Ndani ya Kamati Kuu ya Chadema, kumekua na mgogoro juu ya namna Pesa za chama zinavyotumika bila mpangilio kwa kisingizio cha kukodi chopa ambapo wanaamini gharama zinazotumika kwenye chopa haziendani na uhalisia.

Mbowe amekua akiwaambia wenzake kuwa huwa anakodi chopa hiyo kutoka nchini Kenya, kiasi cha shilingi Milioni 15 kwa siku, lakini safari hii amekodi kwa gharama ya shilingi Milioni 30 kwa siku hali ambayo imezua taharuki na maswali mengi kwenye kamati ya fedha ya chama hicho.

Kwenye ziara waliyoifanya Kanda ya Kati ambapo Chopa peke yake ilitumia zaidi ya Milioni 200 kwa wiki mbili tu, ambapo wapo waliodai gharama hiyo ni kubwa sana.

Baada ya Kamati ya fedha ya Chadema kuhoji kuhusu Chopa kutumia gharama kubwa, wakakubaliana wasitishe kwanza matumizi ya chopa mpaka pale Mwenyekiti wao atakapotoa ufafanuzi juu ya matumizi halisi ya gharama ya Chopa hadi kufikia Milioni 200 kwa siku 14 tu.

Kufuatia kuhojiwa huko na kutakiwa kutoa maelezo kwenye Kamati ya Fedha kwenda Kamati Kuu Freeman Mbowe ameamua kutumiq vibaraka wake akiwemo Salum Mwalimu na John Mrema kuutangazia umma kuwa wanashughulikia vibali vya chopa wakati si kweli, wanasubiri kikao cha kamati kuu ili wawasilishe ufafanuzi wa gharama za matumizi ya chopa.
Jon Mrema amejibu upuuzi huu! Acha ujinga wa mavi

Porojo, kama hizi za kufurahisha genge ;
1. Kanda ya kati haijawahi fikiwa na Operesheni
2. Chadema hakuna Kamati ya Fedha
3. Milioni 15 Kwa siku Kwa siku 14 ni milioni 210 na sio 200
.Hizo ni fact check Kamilisha porojo zako Kwa facts hata kama unatunga usikosee!
 
Anaandika Dr. Sisimizi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameendelea kuwadanganya wanachama wake kuhusu suala la kutofanya mikutano yao kwa kutumia Chopa akidai kuwa anashughulikia kibali cha kuruka.

Nafikiri sasa umefika wakati wa Freeman Mbowe kuwafumbua macho wanachama wake na kuwaeleza sababu za ukweli zilizopelekea wao kushindwa kufanya mikutano yao na waache kisingizio cha kutafuta kibali cha chopa.

Ukweli ni kwamba ndani ya Chadema kumekua na mgogoro baina ya viongozi wa Kamati hasa suala linalohusu matumizi ya fedha.

Ndani ya Kamati Kuu ya Chadema, kumekua na mgogoro juu ya namna Pesa za chama zinavyotumika bila mpangilio kwa kisingizio cha kukodi chopa ambapo wanaamini gharama zinazotumika kwenye chopa haziendani na uhalisia.

Mbowe amekua akiwaambia wenzake kuwa huwa anakodi chopa hiyo kutoka nchini Kenya, kiasi cha shilingi Milioni 15 kwa siku, lakini safari hii amekodi kwa gharama ya shilingi Milioni 30 kwa siku hali ambayo imezua taharuki na maswali mengi kwenye kamati ya fedha ya chama hicho.

Kwenye ziara waliyoifanya Kanda ya Kati ambapo Chopa peke yake ilitumia zaidi ya Milioni 200 kwa wiki mbili tu, ambapo wapo waliodai gharama hiyo ni kubwa sana.

Baada ya Kamati ya fedha ya Chadema kuhoji kuhusu Chopa kutumia gharama kubwa, wakakubaliana wasitishe kwanza matumizi ya chopa mpaka pale Mwenyekiti wao atakapotoa ufafanuzi juu ya matumizi halisi ya gharama ya Chopa hadi kufikia Milioni 200 kwa siku 14 tu.

Kufuatia kuhojiwa huko na kutakiwa kutoa maelezo kwenye Kamati ya Fedha kwenda Kamati Kuu Freeman Mbowe ameamua kutumiq vibaraka wake akiwemo Salum Mwalimu na John Mrema kuutangazia umma kuwa wanashughulikia vibali vya chopa wakati si kweli, wanasubiri kikao cha kamati kuu ili wawasilishe ufafanuzi wa gharama za matumizi ya chopa.
We ni laghai na punguani mkubwa.
Wakati mamlaka zinazohusiana na utoaji vibali imekiri kuwa wamechelewesha kutoa kibali cha hyo chopa kwa kuwa ni utaratibu na kuahidi kitatoka soon wewe umekuja na akili za kipunguani na ngonjera zako
 
Anaandika Dr. Sisimizi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameendelea kuwadanganya wanachama wake kuhusu suala la kutofanya mikutano yao kwa kutumia Chopa akidai kuwa anashughulikia kibali cha kuruka.

Nafikiri sasa umefika wakati wa Freeman Mbowe kuwafumbua macho wanachama wake na kuwaeleza sababu za ukweli zilizopelekea wao kushindwa kufanya mikutano yao na waache kisingizio cha kutafuta kibali cha chopa.

Ukweli ni kwamba ndani ya Chadema kumekua na mgogoro baina ya viongozi wa Kamati hasa suala linalohusu matumizi ya fedha.

Ndani ya Kamati Kuu ya Chadema, kumekua na mgogoro juu ya namna Pesa za chama zinavyotumika bila mpangilio kwa kisingizio cha kukodi chopa ambapo wanaamini gharama zinazotumika kwenye chopa haziendani na uhalisia.

Mbowe amekua akiwaambia wenzake kuwa huwa anakodi chopa hiyo kutoka nchini Kenya, kiasi cha shilingi Milioni 15 kwa siku, lakini safari hii amekodi kwa gharama ya shilingi Milioni 30 kwa siku hali ambayo imezua taharuki na maswali mengi kwenye kamati ya fedha ya chama hicho.

Kwenye ziara waliyoifanya Kanda ya Kati ambapo Chopa peke yake ilitumia zaidi ya Milioni 200 kwa wiki mbili tu, ambapo wapo waliodai gharama hiyo ni kubwa sana.

Baada ya Kamati ya fedha ya Chadema kuhoji kuhusu Chopa kutumia gharama kubwa, wakakubaliana wasitishe kwanza matumizi ya chopa mpaka pale Mwenyekiti wao atakapotoa ufafanuzi juu ya matumizi halisi ya gharama ya Chopa hadi kufikia Milioni 200 kwa siku 14 tu.

Kufuatia kuhojiwa huko na kutakiwa kutoa maelezo kwenye Kamati ya Fedha kwenda Kamati Kuu Freeman Mbowe ameamua kutumiq vibaraka wake akiwemo Salum Mwalimu na John Mrema kuutangazia umma kuwa wanashughulikia vibali vya chopa wakati si kweli, wanasubiri kikao cha kamati kuu ili wawasilishe ufafanuzi wa gharama za matumizi ya chopa.

Kichwa kitupu kabisa ,wambie watoe kibali cha chopa kuingia na kuruka ukiweke hapa hadharani ili Mh Mbowe ashindwe kuruka ndo uandike haya maujinga ya kitoto huenda ukaeleweka
 
Baada ya Kamati ya fedha ya Chadema kuhoji kuhusu Chopa kutumia gharama kubwa, wakakubaliana wasitishe kwanza matumizi ya chopa mpaka pale Mwenyekiti wao atakapotoa ufafanuzi juu ya matumizi halisi ya gharama ya Chopa hadi kufikia Milioni 200 kwa siku 14 tu.

fb_img_1684849274867-jpg.2632462



 
Anaandika Dr. Sisimizi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameendelea kuwadanganya wanachama wake kuhusu suala la kutofanya mikutano yao kwa kutumia Chopa akidai kuwa anashughulikia kibali cha kuruka.

Nafikiri sasa umefika wakati wa Freeman Mbowe kuwafumbua macho wanachama wake na kuwaeleza sababu za ukweli zilizopelekea wao kushindwa kufanya mikutano yao na waache kisingizio cha kutafuta kibali cha chopa.

Ukweli ni kwamba ndani ya Chadema kumekua na mgogoro baina ya viongozi wa Kamati hasa suala linalohusu matumizi ya fedha.

Ndani ya Kamati Kuu ya Chadema, kumekua na mgogoro juu ya namna Pesa za chama zinavyotumika bila mpangilio kwa kisingizio cha kukodi chopa ambapo wanaamini gharama zinazotumika kwenye chopa haziendani na uhalisia.

Mbowe amekua akiwaambia wenzake kuwa huwa anakodi chopa hiyo kutoka nchini Kenya, kiasi cha shilingi Milioni 15 kwa siku, lakini safari hii amekodi kwa gharama ya shilingi Milioni 30 kwa siku hali ambayo imezua taharuki na maswali mengi kwenye kamati ya fedha ya chama hicho.

Kwenye ziara waliyoifanya Kanda ya Kati ambapo Chopa peke yake ilitumia zaidi ya Milioni 200 kwa wiki mbili tu, ambapo wapo waliodai gharama hiyo ni kubwa sana.

Baada ya Kamati ya fedha ya Chadema kuhoji kuhusu Chopa kutumia gharama kubwa, wakakubaliana wasitishe kwanza matumizi ya chopa mpaka pale Mwenyekiti wao atakapotoa ufafanuzi juu ya matumizi halisi ya gharama ya Chopa hadi kufikia Milioni 200 kwa siku 14 tu.

Kufuatia kuhojiwa huko na kutakiwa kutoa maelezo kwenye Kamati ya Fedha kwenda Kamati Kuu Freeman Mbowe ameamua kutumiq vibaraka wake akiwemo Salum Mwalimu na John Mrema kuutangazia umma kuwa wanashughulikia vibali vya chopa wakati si kweli, wanasubiri kikao cha kamati kuu ili wawasilishe ufafanuzi wa gharama za matumizi ya chopa.
Unadhalilisha kabila lililoheshimika kwa muda mrefu kwa njaa ya tumboni
 
Dah kwani wasijipange kununua tu Choppa ya chama! Mbona kukodi ni ghalama zaidi.
 
Anaandika Dr. Sisimizi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameendelea kuwadanganya wanachama wake kuhusu suala la kutofanya mikutano yao kwa kutumia Chopa akidai kuwa anashughulikia kibali cha kuruka.

Nafikiri sasa umefika wakati wa Freeman Mbowe kuwafumbua macho wanachama wake na kuwaeleza sababu za ukweli zilizopelekea wao kushindwa kufanya mikutano yao na waache kisingizio cha kutafuta kibali cha chopa.

Ukweli ni kwamba ndani ya Chadema kumekua na mgogoro baina ya viongozi wa Kamati hasa suala linalohusu matumizi ya fedha.

Ndani ya Kamati Kuu ya Chadema, kumekua na mgogoro juu ya namna Pesa za chama zinavyotumika bila mpangilio kwa kisingizio cha kukodi chopa ambapo wanaamini gharama zinazotumika kwenye chopa haziendani na uhalisia.

Mbowe amekua akiwaambia wenzake kuwa huwa anakodi chopa hiyo kutoka nchini Kenya, kiasi cha shilingi Milioni 15 kwa siku, lakini safari hii amekodi kwa gharama ya shilingi Milioni 30 kwa siku hali ambayo imezua taharuki na maswali mengi kwenye kamati ya fedha ya chama hicho.

Kwenye ziara waliyoifanya Kanda ya Kati ambapo Chopa peke yake ilitumia zaidi ya Milioni 200 kwa wiki mbili tu, ambapo wapo waliodai gharama hiyo ni kubwa sana.

Baada ya Kamati ya fedha ya Chadema kuhoji kuhusu Chopa kutumia gharama kubwa, wakakubaliana wasitishe kwanza matumizi ya chopa mpaka pale Mwenyekiti wao atakapotoa ufafanuzi juu ya matumizi halisi ya gharama ya Chopa hadi kufikia Milioni 200 kwa siku 14 tu.

Kufuatia kuhojiwa huko na kutakiwa kutoa maelezo kwenye Kamati ya Fedha kwenda Kamati Kuu Freeman Mbowe ameamua kutumiq vibaraka wake akiwemo Salum Mwalimu na John Mrema kuutangazia umma kuwa wanashughulikia vibali vya chopa wakati si kweli, wanasubiri kikao cha kamati kuu ili wawasilishe ufafanuzi wa gharama za matumizi ya chopa.
CCM mtaacha ushambenga kama machangudoa vile.
 
Kama Mbowe ni muongo, kwa nini hamtafuti kauli yenye uthibitisho kutoka mamlaka inayotoa kibali cha kurusha chopa ili muweze kusema kwa uhakika kwamba hakuna tatizo la kibali, mamlaka imesema hivyo?

Bila uthibitisho huo, hizi habari zitachukuliwa kama fitina na majungu tu.
Maamuzi ya kamati kuu nayo ni aina ya kibali pia.
 
Anaandika Dr. Sisimizi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameendelea kuwadanganya wanachama wake kuhusu suala la kutofanya mikutano yao kwa kutumia Chopa akidai kuwa anashughulikia kibali cha kuruka.

Nafikiri sasa umefika wakati wa Freeman Mbowe kuwafumbua macho wanachama wake na kuwaeleza sababu za ukweli zilizopelekea wao kushindwa kufanya mikutano yao na waache kisingizio cha kutafuta kibali cha chopa.

Ukweli ni kwamba ndani ya Chadema kumekua na mgogoro baina ya viongozi wa Kamati hasa suala linalohusu matumizi ya fedha.

Ndani ya Kamati Kuu ya Chadema, kumekua na mgogoro juu ya namna Pesa za chama zinavyotumika bila mpangilio kwa kisingizio cha kukodi chopa ambapo wanaamini gharama zinazotumika kwenye chopa haziendani na uhalisia.

Mbowe amekua akiwaambia wenzake kuwa huwa anakodi chopa hiyo kutoka nchini Kenya, kiasi cha shilingi Milioni 15 kwa siku, lakini safari hii amekodi kwa gharama ya shilingi Milioni 30 kwa siku hali ambayo imezua taharuki na maswali mengi kwenye kamati ya fedha ya chama hicho.

Kwenye ziara waliyoifanya Kanda ya Kati ambapo Chopa peke yake ilitumia zaidi ya Milioni 200 kwa wiki mbili tu, ambapo wapo waliodai gharama hiyo ni kubwa sana.

Baada ya Kamati ya fedha ya Chadema kuhoji kuhusu Chopa kutumia gharama kubwa, wakakubaliana wasitishe kwanza matumizi ya chopa mpaka pale Mwenyekiti wao atakapotoa ufafanuzi juu ya matumizi halisi ya gharama ya Chopa hadi kufikia Milioni 200 kwa siku 14 tu.

Kufuatia kuhojiwa huko na kutakiwa kutoa maelezo kwenye Kamati ya Fedha kwenda Kamati Kuu Freeman Mbowe ameamua kutumiq vibaraka wake akiwemo Salum Mwalimu na John Mrema kuutangazia umma kuwa wanashughulikia vibali vya chopa wakati si kweli, wanasubiri kikao cha kamati kuu ili wawasilishe ufafanuzi wa gharama za matumizi ya chopa.
Wakati hata TCCA wamethibitisha kwamba ndege ya chadema bado haijapewa kibali, wewe unatoa wapi huo uongo?

Pili hiyo ndege haitoki Kenya, inatoka nchi moja jirani na SA.

Uongo mwingine aibu sana
 
Back
Top Bottom