Yaliontokea jana....jioni!

Yaliontokea jana....jioni!

1.nisipoelewa ni hapo kwenye red. Inamaana dakika hiyohiyo ukaturushia sms????angalia muda uliopost.
2. Samahani mkuu,ukikaa ki alkeida keida, utakaguliwa sana.mwaka huu nimeshasafiri mara nane sijaona ukaguzi wa kutisha labda airport ya mwanza wapo very strict.
Hapo namba 1 usipate hofu kabisa. Muda wa kufika ulikua umepita nami hua sipendi kusumbuliwa ndio maana huwahi kabla ya muda. Nlipofika nikakuta muda wa kusafiri ni mbele kama 45 min. Hata hivyo ndege yetu ikaahirisha tena muda ziada wa saa nzima PRECISION. MBAYA ZAIDI NLIPOFIKA HOME NKAFUNGUA BAG YANGU KWA NAMBA NLOZOEA HALIKUFUNGUKA. NKALIVUNJA NATZAMA NDANI NKAKUTA NGUO 1 HAKUNA. SIJUI NA HIYO NI NINI? UNAJUA UTASIKIA USUMBUFU KWA WENZIO UNAWEZA UKAPUUZA..USIOMBE YAKUFIKE. MIE HUA NAVAA KAMA MTU WA KAWAIDA (SIMPLE).
 
Maalim Jumar
kama ID yako unafanana nayo kama midevu ile misharafa basi walidhan al-qaeda ndani ya nyumba
 
Kwani ilitakiwa asikusachi???
Si hivyo member!
Kama machine imeonesha sehem ambayo walitilia mashaka ilitakiwa atazame upande huo si kukagua tena bag zima. Kavuruga vuruga vitu vyangu! Hebu fikiria na ww!
 
Maalim Jumar
kama ID yako unafanana nayo kama midevu ile misharafa basi walidhan al-qaeda ndani ya nyumba
Pia ID yangu ni jina halisi linalojulikana Tz na all over the world. Kama upo dar uwe unantazama FNL(channel5) kila ijumaa ya mwisho wa mwezi. Utabahatika kuniona! Nipo kawaida pia napenda niwe hivyo! Ukiishi kawida una enjoy sana member!.
 
Ahaa! kumbe wewe ni MAALIMU JUMA, inawezekana walikutilia mashaka kwamba ni mmoja wa.....!!!
 
Vipodozi hususan perfumes and body sprays ni explosive ambazo haziruhusiwi
kwenye mizigo ya ndani

Very true Inko hawaruhusu vitu hivyo except kama ujazo wake hauzidi 100 ml e na packed into a transparent seal-able plastic bag. Cabin bags nyingi za kisasa zina ki-platic bag for that purpose.

Sasa baadhi ya kina dada hutembea na "dressing table" nzima kwenye mikoba yao.
 
Very true Inko hawaruhusu vitu hivyo except kama ujazo wake hauzidi 100 ml e na packed into a transparent seal-able plastic bag. Cabin bags nyingi za kisasa zina ki-platic bag for that purpose.

Sasa baadhi ya kina dada hutembea na "dressing table" nzima kwenye mikoba yao.

Umenena mkuu
wale staff hasa wa kike wakikutana na wanawake wenzao wamevunja sheria hiyo huwa kimbembe..wanawanyang'anya na kuzitupa katika dust bin,msafiri akiondoka wanajibebea home maperfume ya bei mbaya...tujifunze kuobserve rules na regulations,tuache ubongo wa kupenda kuhongahonga
 
Vipodozi hususan perfumes and body sprays ni explosive ambazo haziruhusiwi
kwenye mizigo ya ndani

Sure.kama inaanzia 100mg,mimi imenikuta mara nyingi lotion zangu kuwaachia maaskari wale.
 
Hali zenu JF!
Nimeona niiweke hapa hii taarifa kwa nia nzuri.
Nmekua nkisafiri mara kwa mara kwa usafiri wa anga...muda mwingine hua mchana...asubuhi...jion/usiku...ukaguzi hua shwari pale kwenye scaner!.

Maalim kwa vile wewe ni msafiri wa mara kwa mara ulitakiwa kujua hili wala isingekuwa issue sana. Pengine ulichotakiwa kuleta hapa ni "Tips za security checks" kwenye airport mbali mbali ili wanaJF wapeane uzoefu mbalimbali.

Nakumbuka one time kijasho kilinitoka Heathrow.
Kwenye last check point kabla ya waiting lounge got a snag, a woman Security Officer requested to check my hand luggage ingawa ulikuwa umeshapita kwenye mashine.
Maswali tena kwa upole ni yale yale mfano: Unakwenda wapi Mr Jumar, huu mzigo ulipack mwenyewe, kila kitu kwenye mzigo ni mali yako, unafanya shughuli gani, umekaa muda gani hapa n.k
Sasa kwenye kimkoba changu nilikuwa na document in colored copies (salary slip, house rental agreement, pass port, mkataba wa kazi, bank statements n.k) za mshikaji yupo UK kaniomba nimletee mamake ili zimsaidie kupata visa dar.
Sasa how do you go back to say they are not yours having said "I stuffed it myself and everything in there belongs to me"!!!

With a lot of "you know, you know, uumh,....." na consultation za wao kwa wao ilinichukuwa dk 45 na ndege ilichelewa sababu yangu kwa dk 20. Sasa unaweza hisia fadhaa ya kuwa abiria wa mwisho kwenye ndege na kijasho kinakutoka.

To sum it all, yours and many other are just normal security checks kama PJ alivyosema hapo juu!
 
Sure.kama inaanzia 100mg,mimi imenikuta mara nyingi lotion zangu kuwaachia maaskari wale.
Kama imekutokea mara nyingi basi wewe ni mzembe sana....Unakatazwa kitu lakini sijui ndo huelewi, au unadhani watasahau procedures siku hiyo
Kwanini usijiepushe na hasara hizo kwa kufuata utaratibu unaoelekezwa?
 
Random search kwa security ni kitu cha kawaida sana. Siyo huko tuu, karibu viwanja vingi wanafanya hivyo. Kwa hiyo kama ilikuangukiwa wewe jana basi, ilikuwa bahati yako. Uwe na amani kabisa mkuu. Imewahi kunikuta Dubai mpaka nilikasirika. Lakini kwa kuwa najua utaratibu, ilinibidi niwe mpole tuu.
 
Ndio safari zilivyo. ndio maana waswahili husema Msafiri kafiri. Lakini kumbuka Msafiri Pwani. siku nyingine wahi sana ili uondoe wasiwasi na hao security wakikuona ume relax hawatakusumbua ila ukiwa na wasiwasi wa safari basi kazi ipo.
 
Maalim Jumaar,
Pole kaka. Lakini hiyo ni kawaida airport na pia wanafanya sampling wakati wa kukagua. Labda ulikuwa mtu aliyeangukia kwenye kukaguliwa. Inaweza ikawa kila mtu wa kumi au kumi na tano lazima akaguliwe kwa mashine na mikono kwenye mabegi yake!!! Ni process ya kawaida kaka na haina maana yoyote ya kuhisiwa vibaya!!!
 
Du, na mimi nimejifunza hapa, siku nikipanda hiyo kitu... Nina hamu...!
 
Maalim kwa vile wewe ni msafiri wa mara kwa mara ulitakiwa kujua hili wala isingekuwa issue sana. Pengine ulichotakiwa kuleta hapa ni "Tips za security checks" kwenye airport mbali mbali ili wanaJF wapeane uzoefu mbalimbali.
Nashukuru baada ya hii taarifa binafsi nimejifunza vitu vingi!
Sina tatizo na kukaguliwa kwa kua mwenyewe najiamini nipo vizuri. Hali ya hewa jana huko dar ilikua tatizo...nmefafanua kua: napenda kufuata taratibu. Siamin kama mimi nlikua wa mwisho! Ila nlikua mwenye haraka vile ilibakia muda wa 30 dkk ...kumbe tukaenda kucheleweshwa tena saa 1 ziada. Kilichoniudhi....ikiwa mashine yao ilionesha kitu walicho hisi wao,wangeelekeza mawazo yao sehemu hiyo ....but officer huyo...kapekua bag yangu yote..nlitamani niwe mkali wa maswali juu yake! Nkawaza mbali zaidi...nkajua hana atachokuta chenye mashaka/kusahitua. Hayo naambiwa viwanja vingi hasa kwa wenzetu wanaudhi ...kisa utaambiwa usalama!
 
Back
Top Bottom