hayafai hayo....mchanga ndoo kumi sementi vijiko kumi na saba....
Hakuna watu waongo kama jeshi la Tanzania, mazoezi yao ni ya kinafki sana....ni walaini kama nyanya.....hakuna kitu wale. Ni bunduki tu huwa tunaogopa....zikisikika paaa! Huwa tunaogopa otherwise mazoezi yao ni mdebwedo sana na uongo kwa sana
kama ni waongo ingia kwenye anga zao ndiyo utajuwa kuwa ni waongo au la!Hakuna watu waongo kama jeshi la Tanzania, mazoezi yao ni ya kinafki sana....ni walaini kama nyanya.....hakuna kitu wale. Ni bunduki tu huwa tunaogopa....zikisikika paaa! Huwa tunaogopa otherwise mazoezi yao ni mdebwedo sana na uongo kwa sana
Maneno haya ayaseme sasa akiwa CCM.Saddism is inevitable when the situation is alarming!
Maneno haya ayaseme sasa akiwa CCM.
Yaani dogo unabahat nzur me pia ni it na nao uwezoo wa kuhack hahhahahhahaa sasa ngoja nikuondshe jeshi walivo hahahhahahaHakuna watu waongo kama jeshi la Tanzania, mazoezi yao ni ya kinafki sana....ni walaini kama nyanya.....hakuna kitu wale. Ni bunduki tu huwa tunaogopa....zikisikika paaa! Huwa tunaogopa otherwise mazoezi yao ni mdebwedo sana na uongo kwa sana
Namkumbuka sana mkuu, kauli hii ilitoka baada ya kudaiwa kuibwa kwa kifaru cha jeshi.Kumbe unamkumbuka Mwenye hiyo Nukuu?![]()
Binti Rwanda kwema wasalimie. ...Hakuna watu waongo kama jeshi la Tanzania, mazoezi yao ni ya kinafki sana....ni walaini kama nyanya.....hakuna kitu wale. Ni bunduki tu huwa tunaogopa....zikisikika paaa! Huwa tunaogopa otherwise mazoezi yao ni mdebwedo sana na uongo kwa sana
Na ndo ilimpa shavu kwa Dr PombeNamkumbuka sana mkuu, kauli hii ilitoka baada ya kudaiwa kuibwa kwa kifaru cha jeshi.
Yanafaa kwa ujenzi,Maana yakiguswa tu,bogojoo.