John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
Yanazikusanya na pesa wanapeleka wapi? Panama nini?ALAFU NASIKIA VITUO VYAKE VYA MAFUTA MAUZO WALIKUWA HAWAPELEKI HELA BENK, KULIKUWA NA MAGALI LAND CRUICER NDO YALIKUWA YANAPITA NA KUKUSANYA PESA ..
Bado unapenda ligi! Kuna Volvo FH Siries 400HP Sleeper hii unasongelea? Nakutanguliza kilomita 20Acha maneno gari hizi zipo na kaz tunapga kama kawa ila bei ya dizel inatukata sana na sasa tuna oda ya dalbit kupeleka zambia karibu miezi 6 mfululizo ikifika dar gari n kupakia na kusepa
Mnyama huyo R470 hyo chuma weka na basi af naitanguliza mbele ila hafiki mbali ashaptwa 470Horsepower Ilitokea sauz mwaka jana ziliingia kama 100 hyo ngao mbele karibia milion 4 ya kibongo we endleza maneno.
Pichanya Juu hapo Lusaka hyo
Bado unapenda ligi! Kuna Volvo FH Siries 400HP Sleeper hii unasongelea? Nakutanguliza kilomita 20
Mara ya mwisho niliyakuta zaidi ya 70 kiteto, ilikuwa mwaka jana. Nadhani watakuwa wameuza kampuni maana hawaonekani kabisa. Mafuta yao yalikuwa ya bei ya chini sana kuliko shell zingineWaungwana,
Mwaka jana tulikuwa tunaona magari makubwa ya mafuta yenye chata ya Lake Oil, ila kipindi cha mwisho wa kampeini za uchaguzi magari hayo hayakuonekana barabarani tena hadi sasa.
Hivi kilitokea kitu gani kwa hayo magari, na je! Mmiliki wa magari hayo alikuwa nani? Kama anajulikana hana harufu ya watumbuliwaji?
Mara ya mwisho niliyakuta zaidi ya 70 kiteto, ilikuwa mwaka jana. Nadhani watakuwa wameuza kampuni maana hawaonekani kabisa. Mafuta yao yalikuwa ya bei ya chini sana kuliko shell zingine
Yapo barabarani kwenye Highways kama kawaida. Tatizo ni kuwa hayafiki kijijini.Waungwana,
Mwaka jana tulikuwa tunaona magari makubwa ya mafuta yenye chata ya Lake Oil, ila kipindi cha mwisho wa kampeini za uchaguzi magari hayo hayakuonekana barabarani tena hadi sasa.
Hivi kilitokea kitu gani kwa hayo magari, na je! Mmiliki wa magari hayo alikuwa nani? Kama anajulikana hana harufu ya watumbuliwaji?
Waambie.Wabongo ni shida sana sisi tunapga trip hatukai nyumbani na gari za Lake oil tatzo mmekariri hiz gar zinazunguka east and central africa kaz kama kawa Gar ukiona yadi ujue n service ila gar kama kawaida n kaz mpka unatamani urudishe gar uombe likizo oda zimekua za kutosha mpaka inabid aombe gari kwa baba ake edha awadh.
Waambie.
Yapo barabarani kwenye Highways kama kawaida.
Tatizo ni kuwa hayafiki kijijini kwao.
Wawafuate na huko wakawatumbue. Pepo za Kusi zinayumbisha matajiri, ambao nao huamua kuhamia kwenye faida. sisi tumekalia kelele tu.Yupo na anazidi kujutanua hapa kafungua company nyingine na kakaake anaita Mek one oil na Sudan kusini kafungua stations 80 na pia huko Zambia ndio balaaa
Msalimie Mangoma Kiongozi. Mwambie tume-mmic Central CorridorAcha maneno gari hizi zipo na kaz tunapga kama kawa ila bei ya dizel inatukata sana na sasa tuna oda ya dalbit kupeleka zambia karibu miezi 6 mfululizo ikifika dar gari n kupakia na kusepa
Mnyama huyo R470 hyo chuma weka na basi af naitanguliza mbele ila hafiki mbali ashaptwa 470Horsepower Ilitokea sauz mwaka jana ziliingia kama 100 hyo ngao mbele karibia milion 4 ya kibongo we endleza maneno.
Pichanya Juu hapo Lusaka hyo
Yupo na anazidi kujutanua hapa kafungua company nyingine na kakaake anaita Mek one oil na Sudan kusini kafungua stations 80 na pia huko Zambia ndio balaaa
Msalimie Magoma Kiongozi. Mwambie tume-mmic Central Corridor
Pamoja sana. Tulia huko huko, huku sio.Poa poa baba niko Lusaka aisee kwa wazee wa short za Lita 1000 noma sana
Hahhahah hawa jamaaa n noma aisee pesa ipo Mzee wao katulia edha awadh yeye na copper tu af dada yao azania kaona atulie kwenye mambo ya misosi sie wabongo wacha tuendlee kupiga domo tu.
Unakuta mtu kwa dar anakaa kigogo au mbez beach kule utayaona wap na saa ngap hasa hiz transit labda nendeni mkatege ubungo mtakuta oda za dalbit mpela mpela kwenda zambia
Unafikiri tatizo lake ni kuona kuwa Lake inapeta? la hasha.Mleta mada nadhani umeshapata majibu,
Kampuni ya Lake Oil ipo na inapiga kazi kama kawaida.
So Relax mkuu.