Mwaka jana tulikuwa tunaona magari makubwa ya mafuta yenye chata ya Lake Oil, ila kipindi cha mwisho wa kampeini za uchaguzi magari hayo hayakuonekana barabarani tena hadi sasa.
Hivi kilitokea kitu gani kwa hayo magari, na je! Mmiliki wa magari hayo alikuwa nani? Kama anajulikana hana harufu ya watumbuliwaji?
miezi michache iliyopita Takukuru ilisema inafanya uchunguzi wa kesi ya hii kampuni ya kukwepa kodi ya shilingi bilioni 8 kwa kuuza mafuta nchini mafuta ambayo yalitakiwa kupelekwa Congo badala yake yakauzwa hapa, serikali ikakosa mapato.
miezi michache iliyopita Takukuru ilisema inafanya uchunguzi wa kesi ya hii kampuni ya kukwepa kodi ya shilingi bilioni 8 kwa kuuza mafuta nchini mafuta ambayo yalitakiwa kupelekwa Congo