yajue mambo kumi ukisikia Man u vs any team

yajue mambo kumi ukisikia Man u vs any team

evelomeredaki

Member
Joined
Mar 29, 2013
Posts
30
Reaction score
2
1)utajua kuwa man anacheza
2)utajua kuwa man u ni wenyeji
3)utajua kuwa man u watavaa jezi nyekundu
4)utajua kuwa nyimbo gani zitaimbwa sn
5)utakadiria idadi ya watu watakaoingia uwanjan
6)utajua kuwa furguson atavaa suti gan
7)utajua kuwa furguson atakula bigjee gan
8)utajua magoli yatapatikana dakika za mwanzo ikibidi
9)utajua spirit wanayokuwa nayo wachezaji
10)utajua tu mwisho wa siku points 3 hubaki hapo.GGMAN U
 
half true half lies, ila the truth is that number 10 hapo juu husaidiwa sana ipatikane kutokana na referees favouritism at OT than at any other football pitch in England
 
half true half lies, ila the truth is that number 10 hapo juu husaidiwa sana ipatikane kutokana na referees favouritism at OT than at any other football pitch in England


Nakubalina nawe kabisa na ndo maana siku ile na Madrid refa aliamua kufanya kinyume na marefa wenzake hapo OT na mwisho wa siku Man u ikatolewa.You must be genius!!!
 
Nakubalina nawe kabisa na ndo maana siku ile na Madrid refa aliamua kufanya kinyume na marefa wenzake hapo OT na mwisho wa siku Man u ikatolewa.You must be genius!!!

mimi hupenda kuwaambia watu watu kuwa yule refa aliwaambia man utd nyie wajinga sana, mnabebwabebwa kilasiki tu na marefa wenu, nilikuwa nawatafuta siku nyingi sana sasa leo mmeingia kwenye kumi na nane zangu, mtanitambua!!

mbavu zao, refa akawanyoosha kabisa
 
viva man u chochote kitakachosemwa wewe ni litimu likubwa,kufungwa ni sehemu ya mchezo
 
Back
Top Bottom