SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
Yupo mmama mmoja ana miaka 10 plus hajarud bongo na hata mama yake anemtelekeza......
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wengn waafrika wanajitoaga akili wakikaa sana marekani wanajifanya black american mpaka wanajifanya kuiga tabia zako.yaan wanaforce kuiga tabia
Ukfatlia mtu kama huyo utagundua hata wazazi wake amewatelekeza africa miaka yte
Sent using Jamii Forums mobile app