Yajue haya kuhusu nchi ya Marekani

Yupo mmama mmoja ana miaka 10 plus hajarud bongo na hata mama yake anemtelekeza......
Na wengn waafrika wanajitoaga akili wakikaa sana marekani wanajifanya black american mpaka wanajifanya kuiga tabia zako.yaan wanaforce kuiga tabia
Ukfatlia mtu kama huyo utagundua hata wazazi wake amewatelekeza africa miaka yte

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usifikiri watu wote wanaenda US kama wakimbizi. Unachoongelea hapa ni kwa wakimbizi tu, green card ni miaka 10.
Namba za gari pia sio states zote, ni baadhi ndio uwekwa nyuma tu, ila kwengine na mbele pia unaweka.
Kama una ajali su dharura namba ni 911, na sio kwamba Inaita polisi pekee, utaongea na dispatcher na kulingana na shida yako ndio utaletewa msaada, hapo naongelea polisi, zima moto au ambulance.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uraia miaka mngp

Nmekuambia baadhi na sio magari yote kuwa muelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usifikiri watu wote wanaenda US kama wakimbizi. Unachoongelea hapa ni kwa wakimbizi tu, green card ni miaka 10.
Namba za gari pia sio states zote, ni baadhi ndio uwekwa nyuma tu, ila kwengine na mbele pia unaweka.
Kama una ajali su dharura namba ni 911, na sio kwamba Inaita polisi pekee, utaongea na dispatcher na kulingana na shida yako ndio utaletewa msaada, hapo naongelea polisi, zima moto au ambulance.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hv unaelewa nn maana ya mkmbz au unaongea uschokijua hali ya kuishi ugenini tayari wewe n mkimbizi na kla mtu anaingia marekani kama mkimbizi na sio marekani tu nchi yoyote ile unapoishi isipokuwa ya kwako jua unaishi kama mkimbizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba kumi na 17 uongo mtupu. Na hio namba 16 uongo nayo pia sheria inaruhusu teenager wa miaka 16 ndio huruhusiwa kuendesha chini ya hapo ni illegal. Halafu huo mtandao wa kununua wanawake umeshafungwa zamani tu mbona. Kuna mengine upo sawa na mengine chumvi imezidi.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Marekani huwezi miliki gari bila bima
Mm mwenyewe nishawahi kufanya kazi mara 3 kwa siku moja.
Mtandao huo hupo na leo tulikuwa tunabshana na mwenzangu eti kuna mdada wa kikongo anajiuza.tumeangalia hupo kwel.kama unabsha sema nkutumie hiyo tovuti

Naongea nnachokijua
 
Sio jela? Kwa nini hutoi mfano na kufananisha ya Marekani na ya Congo, unataja Tz?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tz nmekaa sana kulko kongo mwanza mmekaa miaka 7,na mikoa yote ya kanda ya ziwa mmekaa,dar pole mmekaa mwenzi mmoja,nna watoto wawili wote mmezaa na wa tz
Kwahiyo tanzania nafahamu kuliko watanzania wngn hasa mwanza pale nyamagana,ilemela na busweru huwezi niambia ktu hadi vichochoro nakupitsha
 
Kuna wahamiaji (immigrants) na wakimbizi (refugees).
Nahisi wewe ndio unababaisha, hujui unachoongea.
Hv unaelewa nn maana ya mkmbz au unaongea uschokijua hali ya kuishi ugenini tayari wewe n mkimbizi na kla mtu anaingia marekani kama mkimbizi na sio marekani tu nchi yoyote ile unapoishi isipokuwa ya kwako jua unaishi kama mkimbizi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA Baby...

Ila kuna kamba nyingi sana katika bandiko lako mkuu . Marekani ina majimbo 50 na kila jimbo linajitegemea kwa sheria zake kamili (japo sheria za shirikisho ndiyo ziko juu ya zingine). Mfano kuna majimbo kama California ni lazima uweke namba za gari kwa mbele pia (kama hawajabadilisha); na uchangudoa (ukiwemo wa mitandaoni) hauruhusiwi isipokuwa Las Vegas Nevada. Ukishikwa unajaribu kununua changudoa unatupwa jela na ni kashfa kubwa sana inayoweza kukufukuzisha kazi. Ni kwa sababu hii FBI huwa wanafunga mitandao ya machangudoa...
Hahahaaa jamaa kawapiga watu kamba za kufa mtu!! Kamba zenyewe za migomba!! Halafu anahadithia kama 4yrs old kid anavyowahadithia wenzie maajabu ya Bembea za luna-park kwa vile anajua wenzie hawajawahi kuzipanda!!
 
Namba 4 hyo sheria mbona hata huku ipo so usiwaone marekan ndio wa kwanza hata huku ni kosa kupiga muziki kwa sauti kubwa maeneo ya makazi... na ukitoa taarifa polisi hufika na kutoa onyo au kukamata kabisa (na wanavyopenda hela)

namba 7 umedanganya.... kumbuka kule kuna state laws na kuna federal laws.....

unaweza kuendelea kuwa safe from mikono ya sheria kama ulifanya kosa ambalo ni kosa under this state law na sio kosa under that state law kwa kuhamia kwenye hyo state

hautakuwa safe ndani ya marekani nzima if only kosa ulilofanya linaangukia under federal law

kama unaishi kweli marekani utakuwa umeelewa na kujua umekosea wapi katika uandishi wako

Namba 14 sio tu marekani hata hapa bongo kuna mitandao ya escort service kama EXOTIC TANZANIA ni hela yako tu unaingia unachagua unayemtaka mnakubaliana bei anakuja hadi kwako/sehemu mliyokubaliana so usishangae ukafikir ni marekan pekee

Namba 18 pia umedanganya a legal age for driving in USA avarage ni 16 yrs ..

lakini south dakota pekee ndio ni 14 na miezi 6 na kuna majimbo kama new jersey wenyewe wanaanza kuendesha na miaka 17

na bado kuna mijadala mizito kufanya legal age for driving iwe ni 18 ndani ya marekani

sasa sijui ww ndugu yangu miaka 13 umeona wapi wanaendesha magari...

hayo mambo uliyoandika ni mepesi mno next time jaribu kuandika mambo ambayo kweli watu hawayajui

huyo ndugu yako aliyopo USA mwambie aache kukulisha matango poli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hlo naelewa kuna sheria ya majmbo

Na inawezekana kitu kikafanyka Jimbo moja nyingine isifanyke ila mm nmemaansha yanayofanyka marekani ila cjataja Jimbo lipi inauska nyngn haiusiki.ila asante nmekuelewa
Kwa kweli nimesikitika sana!!! Mbona hata kwenu kibondo ni pazuri tu? Kwa nini ulazimike kuunga unga. Story isiyo na uhalisia hadi unafanya watu wengine tuone aibu kwa niaba yako? Kwa nini tu usiisifie kibondo yako uliyolala jana na kuamka leo salama salimini?? Sikia man! We marekani umeishia kuiona kwenye tv na kusoma kwenye vijarida!hujawahi kuisogelea japo kwa maili 1000!! Mwongo mkubwa eti wanafunzi waingie class halafu kila mmoja aamue somo analotaka kulisoma hilo litakuwa darasa au soko? Vipi kila mwanafunzi kuingia darasani muda anaotaka yeye?? Una uhakika nayo? Mburula
 
Kwa kweli nimesikitika sana!!! Mbona hata kwenu kibondo ni pazuri tu? Kwa nini ulazimike kuunga unga. Story isiyo na uhalisia hadi unafanya watu wengine tuone aibu kwa niaba yako? Kwa nini tu usiisifie kibondo yako uliyolala jana na kuamka leo salama salimini?? Sikia man! We marekani umeishia kuiona kwenye tv na kusoma kwenye vijarida!hujawahi kuisogelea japo kwa maili 1000!! Mwongo mkubwa eti wanafunzi waingie class halafu kila mmoja aamue somo analotaka kulisoma hilo litakuwa darasa au soko? Vipi kila mwanafunzi kuingia darasani muda anaotaka yeye?? Una uhakika nayo? Mburula
Nltegemea kukutana na watu Weny akili kumbe majanga.
Hta cwz kukulaumu ila nailaumu alumni yako nmekalilishwa tu.

Marekani hakuna mwalimu wa darasa moja moja..muda maalumu wa kuingia darasani huko kawaida lakini mwanafunzi anaweza ingia tofauti na muda uliopangwa marekani sio tatizo

Mwanafunzi uchagua kipindi atakachokisoma hv.mfano darasa moja. soma wanafundsha kingrza na nyngn hesabu huamua sasa mwenyewe ngoja niingie darasa la kingereza hapo amechagua mwenyw.

kumbuka darasani hamna fimbo
Hakuna adhabu
Na huwa hakuna kufeli darasa wakiona unakuwa mgumu kuelewa watabaki na ww darasani au kuna masomo ya ziada baada ya shule kufungwa utaendelea kusoma masomo yanayokuletea shda

Na hayo bisha
 
Namba kumi na mbili hata huku inawezekana kabisa tumia bodaboda

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo hapo kweli yanawezekana ila hayafanyiki na hata yakifanyka kwa mtu mmoja.nkikuhulza kwko ni wapi nije nkutembelee utaanza kuniambia "kufika stend ya mabasi pita kushoto mbele yako utaona tank kwa hilo tank hesabu nyuma mbili halafu unyooshe kwa mbele kidogo kata kona utaona shule ya msingi uliza uwanja wa mbuzi huko wapi watakuonyesha ukifika uwanja wa mbuzi kuna ghorofa hapo ndo utaulza kwao asumani ni wapi watakuonysha alafu ndo unisubr hapo ntakuja kukuchukua"
 
Kuna mambo hapo kweli yanawezekana ila hayafanyiki na hata yakifanyka kwa mtu mmoja.nkikuhulza kwko ni wapi nije nkutembelee utaanza kuniambia "kufika stend ya mabasi pita kushoto mbele yako utaona tank kwa hilo tank hesabu nyuma mbili halafu unyooshe kwa mbele kidogo kata kona utaona shule ya msingi uliza uwanja wa mbuzi huko wapi watakuonyesha ukifika uwanja wa mbuzi kuna ghorofa hapo ndo utaulza kwao asumani ni wapi watakuonysha alafu ndo unisubr hapo ntakuja kukuchukua"
Ndio marekani yetu ilivyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 4 hyo sheria mbona hata huku ipo so usiwaone marekan ndio wa kwanza hata huku ni kosa kupiga muziki kwa sauti kubwa maeneo ya makazi... na ukitoa taarifa polisi hufika na kutoa onyo au kukamata kabisa (na wanavyopenda hela)

namba 7 umedanganya.... kumbuka kule kuna state laws na kuna federal laws.....

unaweza kuendelea kuwa safe from mikono ya sheria kama ulifanya kosa ambalo ni kosa under this state law na sio kosa under that state law kwa kuhamia kwenye hyo state

hautakuwa safe ndani ya marekani nzima if only kosa ulilofanya linaangukia under federal law

kama unaishi kweli marekani utakuwa umeelewa na kujua umekosea wapi katika uandishi wako

Namba 14 sio tu marekani hata hapa bongo kuna mitandao ya escort service kama EXOTIC TANZANIA ni hela yako tu unaingia unachagua unayemtaka mnakubaliana bei anakuja hadi kwako/sehemu mliyokubaliana so usishangae ukafikir ni marekan pekee

Namba 18 pia umedanganya a legal age for driving in USA avarage ni 16 yrs ..

lakini south dakota pekee ndio ni 14 na miezi 6 na kuna majimbo kama new jersey wenyewe wanaanza kuendesha na miaka 17

na bado kuna mijadala mizito kufanya legal age for driving iwe ni 18 ndani ya marekani

sasa sijui ww ndugu yangu miaka 13 umeona wapi wanaendesha magari...

hayo mambo uliyoandika ni mepesi mno next time jaribu kuandika mambo ambayo kweli watu hawayajui

huyo ndugu yako aliyopo USA mwambie aache kukulisha matango poli

Sent using Jamii Forums mobile app
.kesho ntarkodi alafu hakutumia

Alafu nmezokumzia marekani kinafanyika sio kila hakipo kabsa hta kama NC kinafanyika na SC halifanyiki hiyo haijalishi

Halafu kumbuka nmewaambia kwamba inawezekana nchi mwako inafanyika lakini sio sana au sio ktu cha kawaida kufanyka sana sana.nchini marekani popote nmeenda YN mmeyakuta CALIFORNIA hivyo hivyo WASH...D hata NC nalo lipo tena vizuri na ukitaka nkuonyeshe na ticket zipo na nmeona kwa macho yangu huo utamaduni hupo
Mf nkiandika wamasai wanafuga ngo'ombe hivi unafiri kila masai ndo ana ngo'ombe.

Marekani mtoto wa miaka 14 anakubalika kufanya kazi ina kwa kataa state zngn hakubaliw lakini naweza kuliongea kwa vile linafanyka marekan
 
.kesho ntarkodi alafu hakutumia

Alafu nmezokumzia marekani kinafanyika sio kila hakipo kabsa hta kama NC kinafanyika na SC halifanyiki hiyo haijalishi

Halafu kumbuka nmewaambia kwamba inawezekana nchi mwako inafanyika lakini sio sana au sio ktu cha kawaida kufanyka sana sana.nchini marekani popote nmeenda YN mmeyakuta CALIFORNIA hivyo hivyo WASH...D hata NC nalo lipo tena vizuri na ukitaka nkuonyeshe na ticket zipo na nmeona kwa macho yangu huo utamaduni hupo
Mf nkiandika wamasai wanafuga ngo'ombe hivi unafiri kila masai ndo ana ngo'ombe.

Marekani mtoto wa miaka 14 anakubalika kufanya kazi ina kwa kataa state zngn hakubaliw lakini naweza kuliongea kwa vile linafanyka marekan
hahah... nimekusoma mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom